Samia aongoza kikao Kamati Kuu CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan,leo Mei 21,2023 ameongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika Ikulu mpya ya Chamwino Dodoma iliyozunduliwa rasmi jana.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button