Azam wapewa chuma tatu na Esperance

AZAM FC imekubali chuma 3-0 kutoka kwa Esperance ya Tunisia, katika mchezo wa kirafiki uliopigwa nchini humo leo.

Wiki iliyopita Azam waliwafunga Al-Hilal idadi hiyo ya mabao na leo watunisia wakaona bora wawatetea wasudani.

Mchezo huo ni wapili wa kujipima nguvu kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Bara.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button