Wimbo wa Taifa

Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa amesimama na Mwenyeji wake Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi, wakati wimbo wa Taifa wa Tanzania ukipigwa kwenye mapokezi rasmi yaliyofanyika Ikulu ya Maputo nchini humo leo  Septemba 21, 2022.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button