Ahmadiyya waipongeza serikali kudumisha amani

MOROGORO: JUMUIYA ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania imeisifu Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuendelea kusimamia amani, kuleta utulivu, kujali misingi ya haki na huruma kwa binadamu wote.
Amiri na Mbashiri Mkuu wa Jumuiya hiyo nchini, Sheikh Khawaja Muzaffar Ahmad amesema hayo mjini Morogoro kwenye maadhimisho ya siku ya kuazishwa Jumuiya hiyo mwaka 1889.
Ahmad amesema jumuiya hiyo ina sera ya kutii wa serikali yoyote iliyopo madarakani na sera ya kuunga mkono mikakati yoyote ambayo inawekwa na serikali katika kuleta maendeleo na ustawi wa jamii.

“Jumuiya yetu inaisifu Serikali inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa kulinda na kudumia amani …hii ni sifa kubwa wa Tanzania, serikali yetu na viongozi wetu” amesema.
Ameomba hali ya amani iendelee kudumishwa ikiwa na kupata viongozi wa serikali ambao wanajali amani ya nchi yetu ,kujali ubinadamu viongozi wanaoheshimu misingi ya haki na huruma kwa binadamu wote.
Aliipongeza serikali kwa kuwa na sera ya kutokuwa na dini isipo kuwa watu wake ndiyo wenye dini.
Ahmad amesema Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya inayo msimamo wazi ya kwamba ubinadamu ni jambo la kwanza kuliko mengine yoyote yale na hivyo kubaki katika msingi huo.

“Ombi langu na la Jumuiya ni kwamba viongizi wa ngazi mbalimbali wawe mstari wa mbele kuwasaidia watu wa nyonge “ amesema
Kwa upande wake Mkuu Wilaya ya Morogoro, Mussa Kilakala aliyekuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo aliipongeza Jumuiya hiyo kwa kusaidia utoaji wa huduma za kijamii hususani sekta ya elimu, maji , afya na kutoa huduma ya kiroho.
Awali,Naibu Amiri wa Jumuiya hiyo nchini ,Sheikh Abid Mahmood Bhatti ,amesema maadhimisho hayo jumuiya hiyo iliwezesha kugawa vyakula ambao ni mchele na unga wa sembe takribani tani 1.5 kwa kaya zaidi ya 150 zenye uhitaji kwenye mitaa tisa ya kata ya Kihonda Maghorofani, Manispaa ya Morogoro.
Sheikh Bhatti aliitaja kaya hizo ni kutoka mitaa ya Ngerengere, Kitata, Msamvu B, Airport ,Kihonda Maghorofani “A” na “B” , Godes , Bima na Mbuyuni kwa ajili ya mahitaji yao kwenye mwezi mtukufu wa Ramadhani, ambayo hufanyika kila mwaka.
Naibu Amiri wa Jumuiya hiyo amesema lengo ni kuunga mkono wito wa Serikali inayohimiza mashirika, taasisi,na watu binafsi kutoa misaada kwa jamii yenye uhitaji.
Mmoja wa wahitaji ,Catherine Ngongi ameishukuru Jumuiya hiyo kwa upendo wa kuwakumbuka walengwa wa dini tofauti wa mitaa za Kata ya Kihonda Maghorofani kuwapatia chakula kwa ajili ya Eid inayokuja na ameomba madhehebu ya dini nyingine wainge mfano huo.



I think the admin of this website is in fact working hard in support of his web site, for the reason that here every stuff is quality based data.
Undeniably believe that which you said. Your favorite justification seemed to
be on the web the simplest thing to be aware of. I
say to you, I certainly get annoyed while people consider
worries that they just don’t know about. You managed to hit the nail upon the top and
also defined out the whole thing without having side-effects , people can take a signal.
Will likely be back to get more. Thanks
I believe that is among the so much significant info for me. And i’m happy studying your article. However want to remark on some common issues, The web site style is wonderful, the articles is actually great : D. Good activity, cheers
This website was… how do I say it? Relevant!! Finally I have found something which helped me. Thanks a lot!
A person essentially help to make critically articles I’d state. That is the first time I frequented your web page and thus far? I surprised with the analysis you made to create this particular submit incredible. Great process!
Currently it appears like Movable Type is the top blogging platform out there right now. (from what I’ve read) Is that what you’re using on your blog?
My brother recommended I would possibly like this web site. He used to be entirely right. This publish truly made my day. You cann’t believe just how much time I had spent for this info! Thank you!