Ahmadiyya waipongeza serikali kudumisha amani

MOROGORO: JUMUIYA ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania imeisifu Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuendelea kusimamia amani, kuleta utulivu, kujali misingi ya haki na huruma kwa binadamu wote.
Amiri na Mbashiri Mkuu wa Jumuiya hiyo nchini, Sheikh Khawaja Muzaffar Ahmad amesema hayo mjini Morogoro kwenye maadhimisho ya siku ya kuazishwa Jumuiya hiyo mwaka 1889.
Ahmad amesema jumuiya hiyo ina sera ya kutii wa serikali yoyote iliyopo madarakani na sera ya kuunga mkono mikakati yoyote ambayo inawekwa na serikali katika kuleta maendeleo na ustawi wa jamii.

“Jumuiya yetu inaisifu Serikali inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa kulinda na kudumia amani …hii ni sifa kubwa wa Tanzania, serikali yetu na viongozi wetu” amesema.
Ameomba hali ya amani iendelee kudumishwa ikiwa na kupata viongozi wa serikali ambao wanajali amani ya nchi yetu ,kujali ubinadamu viongozi wanaoheshimu misingi ya haki na huruma kwa binadamu wote.
Aliipongeza serikali kwa kuwa na sera ya kutokuwa na dini isipo kuwa watu wake ndiyo wenye dini.
Ahmad amesema Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya inayo msimamo wazi ya kwamba ubinadamu ni jambo la kwanza kuliko mengine yoyote yale na hivyo kubaki katika msingi huo.

“Ombi langu na la Jumuiya ni kwamba viongizi wa ngazi mbalimbali wawe mstari wa mbele kuwasaidia watu wa nyonge “ amesema
Kwa upande wake Mkuu Wilaya ya Morogoro, Mussa Kilakala aliyekuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo aliipongeza Jumuiya hiyo kwa kusaidia utoaji wa huduma za kijamii hususani sekta ya elimu, maji , afya na kutoa huduma ya kiroho.
Awali,Naibu Amiri wa Jumuiya hiyo nchini ,Sheikh Abid Mahmood Bhatti ,amesema maadhimisho hayo jumuiya hiyo iliwezesha kugawa vyakula ambao ni mchele na unga wa sembe takribani tani 1.5 kwa kaya zaidi ya 150 zenye uhitaji kwenye mitaa tisa ya kata ya Kihonda Maghorofani, Manispaa ya Morogoro.
Sheikh Bhatti aliitaja kaya hizo ni kutoka mitaa ya Ngerengere, Kitata, Msamvu B, Airport ,Kihonda Maghorofani “A” na “B” , Godes , Bima na Mbuyuni kwa ajili ya mahitaji yao kwenye mwezi mtukufu wa Ramadhani, ambayo hufanyika kila mwaka.
Naibu Amiri wa Jumuiya hiyo amesema lengo ni kuunga mkono wito wa Serikali inayohimiza mashirika, taasisi,na watu binafsi kutoa misaada kwa jamii yenye uhitaji.
Mmoja wa wahitaji ,Catherine Ngongi ameishukuru Jumuiya hiyo kwa upendo wa kuwakumbuka walengwa wa dini tofauti wa mitaa za Kata ya Kihonda Maghorofani kuwapatia chakula kwa ajili ya Eid inayokuja na ameomba madhehebu ya dini nyingine wainge mfano huo.



I think the admin of this website is in fact working hard in support of his web site, for the reason that here every stuff is quality based data.
Undeniably believe that which you said. Your favorite justification seemed to
be on the web the simplest thing to be aware of. I
say to you, I certainly get annoyed while people consider
worries that they just don’t know about. You managed to hit the nail upon the top and
also defined out the whole thing without having side-effects , people can take a signal.
Will likely be back to get more. Thanks
I believe that is among the so much significant info for me. And i’m happy studying your article. However want to remark on some common issues, The web site style is wonderful, the articles is actually great : D. Good activity, cheers
This website was… how do I say it? Relevant!! Finally I have found something which helped me. Thanks a lot!
A person essentially help to make critically articles I’d state. That is the first time I frequented your web page and thus far? I surprised with the analysis you made to create this particular submit incredible. Great process!
Currently it appears like Movable Type is the top blogging platform out there right now. (from what I’ve read) Is that what you’re using on your blog?
My brother recommended I would possibly like this web site. He used to be entirely right. This publish truly made my day. You cann’t believe just how much time I had spent for this info! Thank you!
I know this site presents quality based articles or reviews and additional stuff, is there any other website which presents these things in quality?
Hurrah! At last I got a blog from where I can in fact obtain valuable facts concerning my study and knowledge.
Hey, I think your blog might be having browser compatibility issues. When I look at your blog in Chrome, it looks fine but when opening in Internet Explorer, it has some overlapping. I just wanted to give you a quick heads up! Other then that, fantastic blog!
I have been surfing online more than three hours today, yet I never found any interesting article like yours. It is pretty worth enough for me. Personally, if all web owners and bloggers made good content as you did, the internet will be a lot more useful than ever before.
Great info. Lucky me I came across your website by chance (stumbleupon). I’ve book marked it for later!
Link exchange is nothing else however it is simply placing the other person’s web site link on your page at appropriate place and other person will also do same in support of you.
Hi there, You’ve done a fantastic job. I will certainly digg it and personally suggest to my friends. I’m sure they’ll be benefited from this web site.
This is a topic which is near to my heart… Cheers! Where are your contact details though?
https://bluelinepharmacy.shop/# buy Viagra over the counter
BlueLine
Woah! I’m really digging the template/theme of this website. It’s simple, yet effective. A lot of times it’s difficult to get that “perfect balance” between user friendliness and visual appearance. I must say you have done a superb job with this. Additionally, the blog loads very fast for me on Firefox. Outstanding Blog!
Hi there to all, how is the whole thing, I think every one is getting more from this site, and your views are pleasant in favor of new visitors.
Currently it appears like Expression Engine is the top blogging platform out there right now. (from what I’ve read) Is that what you’re using on your blog?
Right now it looks like Movable Type is the best blogging platform available right now. (from what I’ve read) Is that what you are using on your blog?
I have read so many posts regarding the blogger lovers but this paragraph is truly a pleasant piece of writing, keep it up.
Hi there, You have performed an incredible job. I will definitely digg it and in my opinion recommend to my friends. I’m confident they’ll be benefited from this website.
Hey there, You have performed a great job. I will certainly digg it and for my part suggest to my friends. I am confident they will be benefited from this web site.
My developer is trying to persuade me to move to .net from PHP. I have always disliked the idea because of the expenses. But he’s tryiong none the less. I’ve been using WordPress on several websites for about a year and am nervous about switching to another platform. I have heard excellent things about blogengine.net. Is there a way I can transfer all my wordpress content into it? Any help would be really appreciated!