Ahmadiyya waipongeza serikali kudumisha amani

MOROGORO: JUMUIYA ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania imeisifu Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuendelea kusimamia amani, kuleta utulivu,  kujali misingi ya haki na huruma kwa binadamu wote.

Amiri na Mbashiri Mkuu wa Jumuiya hiyo nchini, Sheikh Khawaja Muzaffar Ahmad amesema hayo mjini Morogoro kwenye maadhimisho ya siku ya kuazishwa Jumuiya hiyo mwaka 1889.

Ahmad amesema  jumuiya hiyo ina sera ya kutii wa serikali yoyote iliyopo madarakani na sera ya kuunga mkono mikakati yoyote ambayo inawekwa na serikali katika kuleta maendeleo na ustawi wa jamii.

Advertisement

“Jumuiya yetu inaisifu Serikali inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa kulinda na kudumia amani …hii ni sifa kubwa wa Tanzania, serikali yetu na viongozi wetu” amesema.

Ameomba hali ya amani iendelee kudumishwa ikiwa na kupata viongozi wa serikali ambao wanajali amani ya nchi yetu ,kujali ubinadamu viongozi wanaoheshimu misingi ya haki na huruma kwa binadamu wote.

Aliipongeza serikali kwa kuwa na sera ya kutokuwa na dini isipo kuwa watu wake ndiyo wenye dini.

Ahmad amesema Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya inayo msimamo wazi ya kwamba ubinadamu ni jambo la kwanza kuliko mengine yoyote yale na hivyo kubaki katika msingi huo.

“Ombi langu na la Jumuiya ni kwamba viongizi wa ngazi mbalimbali wawe mstari wa mbele kuwasaidia watu wa nyonge “ amesema

Kwa upande wake Mkuu Wilaya ya Morogoro, Mussa Kilakala aliyekuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo aliipongeza Jumuiya hiyo kwa kusaidia utoaji wa huduma za kijamii hususani sekta ya elimu, maji , afya na kutoa huduma ya kiroho.

Awali,Naibu Amiri wa Jumuiya hiyo nchini ,Sheikh Abid Mahmood Bhatti ,amesema maadhimisho hayo jumuiya hiyo iliwezesha kugawa vyakula ambao ni mchele na unga wa sembe takribani tani 1.5 kwa kaya zaidi ya 150 zenye uhitaji kwenye mitaa tisa ya kata ya Kihonda Maghorofani, Manispaa ya Morogoro.

Sheikh Bhatti aliitaja kaya hizo ni kutoka mitaa ya Ngerengere, Kitata, Msamvu B, Airport ,Kihonda Maghorofani “A” na “B” , Godes , Bima na Mbuyuni kwa ajili ya mahitaji yao kwenye mwezi mtukufu wa Ramadhani, ambayo hufanyika kila mwaka.

Naibu Amiri wa Jumuiya hiyo amesema lengo ni kuunga mkono wito wa Serikali inayohimiza mashirika, taasisi,na watu binafsi kutoa misaada kwa jamii yenye uhitaji.

Mmoja wa wahitaji ,Catherine Ngongi ameishukuru Jumuiya hiyo kwa upendo wa kuwakumbuka walengwa wa dini tofauti wa mitaa za Kata ya Kihonda Maghorofani kuwapatia chakula kwa ajili ya Eid inayokuja na ameomba madhehebu ya dini nyingine wainge mfano huo.

81 comments
  1. An impressive share! I’ve just forwarded this onto a friend who had been doing a little homework on this.
    And he in fact bought me lunch because I stumbled upon it for him…
    lol. So allow me to reword this…. Thank YOU for the meal!!
    But yeah, thanx for spending some time to discuss this topic here on your web site. https://cl-system.jp/question/ortho-glucose-soutien-nutritionnel-pour-la-gestion-du-glucose-10/

  2. Have you ever considered writing an ebook or guest authoring on other
    websites? I have a blog centered on the same subjects you discuss and would really
    like to have you share some stories/information. I know my visitors would enjoy your work.
    If you are even remotely interested, feel free to shoot me an e
    mail. https://Davidepostiglione.Altervista.org/question/empresas-de-envios-internacionales-en-colombia-opciones-para-tus-envios-al-exterior-2/

  3. First off I want to say awesome blog! I had a
    quick question that I’d like to ask if you don’t mind.
    I was interested to know how you center yourself
    and clear your head prior to writing. I have
    had a tough time clearing my mind in getting my thoughts out
    there. I truly do enjoy writing but it just
    seems like the first 10 to 15 minutes are generally
    wasted simply just trying to figure out how to begin. Any suggestions or hints?
    Kudos! https://www.arteinfiamme.altervista.org/arte/physiotherapie-a-rosemont-retablissement-et-bien-etre-2/

  4. Howdy! I realize this is sort of off-topic but I
    needed to ask. Does running a well-established blog like yours require a large amount of work?

    I’m brand new to running a blog but I do write in my journal on a daily basis.
    I’d like to start a blog so I will be able to share my personal experience and views online.
    Please let me know if you have any suggestions or tips for new aspiring bloggers.
    Thankyou! http://Sl860.com/comment/html/?134041.html

  5. Today, I went to the beachfront with my kids. I found a sea shell and gave it to
    my 4 year old daughter and said “You can hear the ocean if you put this to your ear.” She put the shell to her ear
    and screamed. There was a hermit crab inside and it pinched
    her ear. She never wants to go back! LoL I know this is completely off topic but I had to tell someone! https://mervebaskan.com/question/comment-calculer-la-valeur-marchande-dune-maison-au-quebec/

  6. An outstanding share! I’ve just forwarded this onto a friend who had been doing a little homework on this.
    And he actually ordered me breakfast due to the fact that I discovered it
    for him… lol. So allow me to reword this….
    Thank YOU for the meal!! But yeah, thanks for spending the time to discuss this
    matter here on your site. https://mervebaskan.com/question/demande-devaluation-immobiliere-les-etapes-a-suivre-pour-obtenir-une-evaluation-precise-de-votre-propriete-2/

  7. Good post. I learn something new and challenging on websites I stumbleupon every day.
    It’s always interesting to read articles from other writers and use
    a little something from their web sites. https://Mervebaskan.com/question/expert-en-biens-immobiliers-a-laval-votre-partenaire-de-confiance-pour-une-gestion-immobiliere-exceptionnelle-3/

  8. Thanks , I’ve recently been looking for information approximately this topic
    for a long time and yours is the greatest I’ve came upon so far.

    But, what in regards to the conclusion? Are you certain concerning the supply?

  9. My coder is trying to convince me to move to .net from PHP.
    I have always disliked the idea because of the costs.
    But he’s tryiong none the less. I’ve been using Movable-type on a variety of websites
    for about a year and am concerned about switching to another platform.
    I have heard excellent things about blogengine.net. Is there
    a way I can import all my wordpress posts into it?
    Any kind of help would be greatly appreciated! https://Vads.in/index.php?page=user&action=pub_profile&id=16577

  10. Hi there, I found your blog by means of Google
    whilst searching for a similar subject, your site got here up, it
    seems great. I’ve bookmarked it in my google
    bookmarks.
    Hi there, simply turned into alert to your blog through Google, and
    found that it is really informative. I’m going to watch out for brussels.
    I will appreciate if you happen to continue this in future.
    A lot of people shall be benefited from your
    writing. Cheers! https://Bolaopaulista.com/author/shanaloughl/

  11. When I initially commented I clicked the “Notify me when new comments are added” checkbox
    and now each time a comment is added I get several emails with the same comment.
    Is there any way you can remove me from that service?
    Thank you! https://davidepostiglione.altervista.org/question/demande-de-pret-sans-enquete-de-credit-au-quebec-une-solution-pratique-par-les-besoins-financiers/?doing_wp_cron=1744699234.2206819057464599609375

  12. When I initially commented I appear to have clicked on the -Notify me when new comments are added- checkbox and from
    now on whenever a comment is added I recieve 4 emails with the exact same comment.
    Is there an easy method you can remove me from that service?

    Cheers! https://Www.Ambrosiovini.it/question/demande-devaluation-immobiliere-les-etapes-a-suivre-par-obtenir-une-evaluation-precise-de-votre-propriete-3/

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *