Ahmadiyya waipongeza serikali kudumisha amani

MOROGORO: JUMUIYA ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania imeisifu Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuendelea kusimamia amani, kuleta utulivu,  kujali misingi ya haki na huruma kwa binadamu wote.

Amiri na Mbashiri Mkuu wa Jumuiya hiyo nchini, Sheikh Khawaja Muzaffar Ahmad amesema hayo mjini Morogoro kwenye maadhimisho ya siku ya kuazishwa Jumuiya hiyo mwaka 1889.

Ahmad amesema  jumuiya hiyo ina sera ya kutii wa serikali yoyote iliyopo madarakani na sera ya kuunga mkono mikakati yoyote ambayo inawekwa na serikali katika kuleta maendeleo na ustawi wa jamii.

“Jumuiya yetu inaisifu Serikali inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa kulinda na kudumia amani …hii ni sifa kubwa wa Tanzania, serikali yetu na viongozi wetu” amesema.

Ameomba hali ya amani iendelee kudumishwa ikiwa na kupata viongozi wa serikali ambao wanajali amani ya nchi yetu ,kujali ubinadamu viongozi wanaoheshimu misingi ya haki na huruma kwa binadamu wote.

Aliipongeza serikali kwa kuwa na sera ya kutokuwa na dini isipo kuwa watu wake ndiyo wenye dini.

Ahmad amesema Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya inayo msimamo wazi ya kwamba ubinadamu ni jambo la kwanza kuliko mengine yoyote yale na hivyo kubaki katika msingi huo.

“Ombi langu na la Jumuiya ni kwamba viongizi wa ngazi mbalimbali wawe mstari wa mbele kuwasaidia watu wa nyonge “ amesema

Kwa upande wake Mkuu Wilaya ya Morogoro, Mussa Kilakala aliyekuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo aliipongeza Jumuiya hiyo kwa kusaidia utoaji wa huduma za kijamii hususani sekta ya elimu, maji , afya na kutoa huduma ya kiroho.

Awali,Naibu Amiri wa Jumuiya hiyo nchini ,Sheikh Abid Mahmood Bhatti ,amesema maadhimisho hayo jumuiya hiyo iliwezesha kugawa vyakula ambao ni mchele na unga wa sembe takribani tani 1.5 kwa kaya zaidi ya 150 zenye uhitaji kwenye mitaa tisa ya kata ya Kihonda Maghorofani, Manispaa ya Morogoro.

Sheikh Bhatti aliitaja kaya hizo ni kutoka mitaa ya Ngerengere, Kitata, Msamvu B, Airport ,Kihonda Maghorofani “A” na “B” , Godes , Bima na Mbuyuni kwa ajili ya mahitaji yao kwenye mwezi mtukufu wa Ramadhani, ambayo hufanyika kila mwaka.

Naibu Amiri wa Jumuiya hiyo amesema lengo ni kuunga mkono wito wa Serikali inayohimiza mashirika, taasisi,na watu binafsi kutoa misaada kwa jamii yenye uhitaji.

Mmoja wa wahitaji ,Catherine Ngongi ameishukuru Jumuiya hiyo kwa upendo wa kuwakumbuka walengwa wa dini tofauti wa mitaa za Kata ya Kihonda Maghorofani kuwapatia chakula kwa ajili ya Eid inayokuja na ameomba madhehebu ya dini nyingine wainge mfano huo.

Habari Zifananazo

41 Comments

  1. Undeniably believe that which you said. Your favorite justification seemed to
    be on the web the simplest thing to be aware of. I
    say to you, I certainly get annoyed while people consider
    worries that they just don’t know about. You managed to hit the nail upon the top and
    also defined out the whole thing without having side-effects , people can take a signal.

    Will likely be back to get more. Thanks

  2. I believe that is among the so much significant info for me. And i’m happy studying your article. However want to remark on some common issues, The web site style is wonderful, the articles is actually great : D. Good activity, cheers

  3. A person essentially help to make critically articles I’d state. That is the first time I frequented your web page and thus far? I surprised with the analysis you made to create this particular submit incredible. Great process!

  4. Currently it appears like Movable Type is the top blogging platform out there right now. (from what I’ve read) Is that what you’re using on your blog?

  5. My brother recommended I would possibly like this web site. He used to be entirely right. This publish truly made my day. You cann’t believe just how much time I had spent for this info! Thank you!

  6. I know this site presents quality based articles or reviews and additional stuff, is there any other website which presents these things in quality?

  7. Hey, I think your blog might be having browser compatibility issues. When I look at your blog in Chrome, it looks fine but when opening in Internet Explorer, it has some overlapping. I just wanted to give you a quick heads up! Other then that, fantastic blog!

  8. I have been surfing online more than three hours today, yet I never found any interesting article like yours. It is pretty worth enough for me. Personally, if all web owners and bloggers made good content as you did, the internet will be a lot more useful than ever before.

  9. Link exchange is nothing else however it is simply placing the other person’s web site link on your page at appropriate place and other person will also do same in support of you.

  10. Woah! I’m really digging the template/theme of this website. It’s simple, yet effective. A lot of times it’s difficult to get that “perfect balance” between user friendliness and visual appearance. I must say you have done a superb job with this. Additionally, the blog loads very fast for me on Firefox. Outstanding Blog!

  11. Hi there, You have performed an incredible job. I will definitely digg it and in my opinion recommend to my friends. I’m confident they’ll be benefited from this website.

  12. My developer is trying to persuade me to move to .net from PHP. I have always disliked the idea because of the expenses. But he’s tryiong none the less. I’ve been using WordPress on several websites for about a year and am nervous about switching to another platform. I have heard excellent things about blogengine.net. Is there a way I can transfer all my wordpress content into it? Any help would be really appreciated!

  13. To be honest, I’ve been trying various platforms
    of late plus my experience has been quite mixed.

    One observation that I found is that the responsiveness of mobile gaming really makes a big difference for
    your total enjoyment. Furthermore, the majority of users seem
    to forget how smart betting stays a main part to staying profitable.
    I also feel the new spindog casino download layout often be both a big
    advantage or just real mess depending upon the way the
    software is designed. Lastly, does you guys favor wagering
    using the phones more as opposed to a computer?
    Tell me what is the community consider is the best important feature needed in the good
    mobile site?

  14. Thank you for another informative blog. The place else could I get that type of info written in such a perfect approach? I have a mission that I’m simply now running on, and I have been on the look out for such information.

  15. Do you have a spam problem on this site; I also am a blogger, and I was wondering your situation; we have developed some nice procedures and we are looking to trade methods with
    others, why not shoot me an e-mail if interested.

  16. Very nice post. I just stumbled upon your weblog and wanted to mention that I’ve truly enjoyed browsing your weblog posts. After all I’ll be subscribing on your rss feed and I hope you write once more very soon!

  17. We absolutely love your blog and find the majority of your post’s to be exactly what I’m looking for. can you offer guest writers to write content for you personally? I wouldn’t mind creating a post or elaborating on most of the subjects you write about here. Again, awesome blog!

  18. I’m extremely pleased to uncover this web site. I need
    to to thank you for your time for this particularly fantastic read!!
    I definitely enjoyed every bit of it and i also have you book-marked to check out new information in your site.

  19. Greetings! This is my first comment here so I just wanted to give a quick shout out and say I truly enjoy reading through your articles. Can you suggest any other blogs/websites/forums that go over the same subjects? Thank you so much!

  20. I’m not sure exactly why but this blog is loading extremely slow for me. Is anyone else having this issue or is it a issue on my end? I’ll check back later on and see if the problem still exists.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button