Mahakama, mawakili Iringa waimarisha uhusiano

UHUSIANO kati ya mawakili na Idara ya Mahakama katika mikoa yaa Iringa na Njombe yameelezwa kuwa mazuri, hali inayochangia kuboresha utoaji wa haki kwa wananchi.

Kwa sasa, hakuna malalamiko ya dharau wala kero kati ya mawakili na mahakama, huku changamoto zinazojitokeza zikiripotiwa na kushughulikiwa kwa haraka na amani.

Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Kanda ya Iringa, Wakili Moses Ambindwile amesema mahakama imeendelea kuheshimu mawakili na kuboresha mazingira ya kazi yao, hali inayowapa nafasi ya kutimiza majukumu yao kwa ufanisi zaidi.

Akizungumza kuhusu maendeleo hayo, alisema mahusiano kati ya mawakili na wadau mbalimbali wakiwemo Mahakama, Jeshi la Polisi, Magereza, TAKUKURU na Idara ya Ardhi ni mazuri, na changamoto chache zinazojitokeza zinatatuliwa kwa njia ya mazungumzo ya amani.

Kwa upande wake, Joshua Chusi, wakili wa kujitegemea na Mwenyekiti wa Kamati ya Msaada wa Kisheria Kanda ya Iringa, alisema kamati yao ina jukumu la kusaidia wananchi ambao hawawezi kumudu gharama za kulipia wakili, ili kuwapa nafasi ya kupata haki mbele ya vyombo vya sheria.

“Tunapokea wananchi wenye changamoto hizo na jukumu letu ni kuwahudumia. Hadi sasa, tumeshapokea na tunazishughulikia jumla ya kesi 22 zilizotokana na mpango wa Mama Samia Legal Campaign,” alisema Chusi.

Naye Prosper Luhinda, wakili wa kujitegemea na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Mawakili Kanda ya Iringa, alieleza kuwa kamati yao inashughulikia masuala ya maadili ya wanasheria, ikiwemo kuhakikisha kuwa si kila mtu anayekwenda mahakamani anajitambulisha kama wakili bila kuwa na sifa stahiki.

“Tumepokea baadhi ya malalamiko dhidi ya mawakili na tumejipanga kuyashughulikia kwa kuhakikisha tasnia inalindwa na wananchi wanapata haki zao bila bugudha,” alisema Luhinda.

Kwa upande mwingine, Desderick Shiwa, Mwenyekiti wa Kamati ya Mafunzo Endelevu kwa Mawakili, alisema kamati yao inalenga kuboresha utendaji wa mawakili kwa kuwaongezea ujuzi na uwezo.

“Tasnia ya sheria ni nyeti sana kwa sababu inahusiana moja kwa moja na haki za watu. Tunataka kila wakili ajitahidi kuboresha ubora wake katika kuwahudumia wananchi,” alisema Shewa.

Kwa ujumla, Wakili Ambindwile alisema jitihada za kamati mbalimbali za mawakili katika Kanda ya Iringa zinaendelea kuimarisha taaluma na heshima ya sekta ya sheria, huku mazingira bora ya kazi yakihamasisha utoaji wa huduma bora zaidi kwa jamii.

Habari Zifananazo

30 Comments

  1. united kingdom poker deluxe 2, slots ironman lausaarote and instant payout casino uk, or
    online bingo usa promotions

    Feel free to surf to my page: vip gamblers (Lucia)

  2. Вывод из запоя в стационаре — это медицинская помощь, при которой лечение проводится в условиях постоянного врачебного контроля и поэтапной стабилизации состояния. Такой формат применяется, когда состояние пациента требует наблюдения и быстрого реагирования на изменения. В наркологической клинике «Частный медик 24» в Нижнем Новгороде лечение выстраивается на основе клинической оценки и последовательного подхода: каждый этап направлен на достижение конкретного результата без избыточной нагрузки на организм.
    Узнать больше – http://vyvod-iz-zapoya-v-staczionare-nizhnij-novgorod-2.ru

  3. Per vivere l’adrenalina del Crazy Time nei casino italiani, visita gioca a crazy time e scopri demo, statistiche e partite in diretta.
    L’utente gode di un ambiente di gioco affidabile, dove ogni transazione e tutelata e trasparente.

  4. يستطيع المستخدم الحصول على ملف apk وتثبيته على جهاز أندرويد دون تعقيد.
    888starz تحميل https://theracingbicycle.com/
    عند تنزيل apk يقوم المستخدم بالنقر عليه لتبدأ عملية التثبيت بشكل مباشر.
    يتوافق إصدار أندرويد مع معظم الهواتف بما فيها ذات المواصفات البسيطة.
    الحفاظ على تحديث التطبيق بانتظام يساعد على سد أي ثغرات ويرفع مستوى الأمان.
    يدعم 888starz أجهزة iOS ليتمكن مستخدمو الآيفون من تثبيت التطبيق بسهولة.

  5. يوفر 888starz واجهة عربية واضحة مخصصة لمستخدمي مصر وسهلة الاستخدام.
    تتوفر أكثر من 300 طاولة كازينو مباشر بموزعين حقيقيين تعمل على مدار الساعة.
    888starz https://free-credits-report.com/
    تتوفر خطوط مراهنة على الدوريات العالمية والمحلية بما فيها بطولات مصر.
    يقدم 888starz للاعبين الجدد في مصر عرضًا ترحيبيًا يصل إلى 1500 يورو و150 دورة مجانية.
    يتيح الموقع الرسمي وسائل دفع مرنة تشمل البطاقات والمحافظ والعملات الرقمية بحد إيداع يبدأ من 5 دولارات.

  6. يمنح موقع 888starz لاعبي مصر بوابة موحّدة تضم ألعاب الكازينو والرهان الرياضي جنبًا إلى جنب.

    يوفر قسم الكازينو الحي طاولات روليت وبكارات وبلاك جاك يديرها موزعون حقيقيون على الهواء.

    يتيح الموقع رهانًا لحظيًا مع إحصاءات مباشرة ونسب ربح مرتفعة على الأحداث الجارية.

    يطرح الموقع عروضًا مستمرة تشمل كاش باك أسبوعيًا ورهانات مجانية وبطولات سلوت.

    يدعم الموقع وسائل دفع محلية ودولية تشمل البطاقات والمحافظ الإلكترونية والعملات المشفرة.

    888starz https://aclknights.com/

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button