Lukumay ajitosa ubunge Arumeru Magharibi

MWENYEKITI wa Chama Cha Wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA), mfanyabiashara maarufu, na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Elias Lukumay, amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi, Mkoa wa Arusha.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button