Madeleka atwaa fomu ubunge Kivule

DAR ES SALAAM: WAKILI maarufu nchini, Peter Madeleka leo Agosti 24, 2025 amechukua fomu ya uteuzi ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kivule lililopo Dar es Salaam.

Wakili Madeleka amechukuwa fomu hiyo kupitia chama cha ACT Wazalendo.

SOMA ZAIDI

Wakili Madeleka autaka ubunge Kivule

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button