Pongezi serikali kwa uwekezaji mkubwa kilimo cha umwagiliaji

TUNAIPONGEZA serikali kwa juhudi zake kupitia Wizara ya Kilimo na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) za kuendeleza sekta ya kilimo nchini kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya umwagiliaji.
Taarifa ya NIRC inasema zaidi ya wakulima 4,650 wamepata fursa ya kuboresha uzalishaji wao wa kilimo na hivyo kuchangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya taifa.
Miradi hii inatoa nuru mpya kwa wakulima wa mikoa ya Dodoma, Mwanza na Shinyanga, kwani inawahakikishia upatikanaji wa maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji.
Hii ni hatua muhimu ya kupambana na changamoto za ukame, upungufu wa maji na misimu isiyo na uhakika, ambazo zimekuwa kikwazo kikubwa kwa uzalishaji wa mazao na kipato cha wakulima.
Kwa mfano, Mradi wa Bwawa la Membe na Skimu ya umwagiliaji ya Membe, inatoa fursa ya kuongeza uzalishaji wa mazao kama mboga mboga na matunda, hivyo kuboresha kipato na maisha ya wakulima.
SOMA: Mradi wa bil 60/- umwagiliaji kunufaisha wakulima
Utekelezaji wa miradi kama hii ni muhimu si tu kwa kuongeza uzalishaji wa chakula, bali pia kwa kuimarisha uchumi wa nchi kwa ujumla.
Kilimo cha umwagiliaji kinatoa fursa ya uzalishaji wa mazao mara tatu au zaidi kwa mwaka, hali inayoimarisha usalama wa chakula na kuongeza mchango wa sekta hii kwa pato la taifa.
Vilevile, kuanzishwa kwa visima zaidi ya 67,000 katika maeneo kame ni jitihada za kisera za kuondoa utegemezi wa mvua na kuleta maendeleo ya kijamii kwa wakulima wa maeneo ya vijijini.
Pia, tunaipongeza serikali kwa kuanzisha mpango wa kitaifa wa kuchimba visima zaidi ya 67,000 katika halmashauri 184 ndani ya miaka minane.
Mpango unatarajiwa kuwanufaisha wakulima zaidi ya 100,000, kila mmoja akimwagilia wastani wa ekari 2.5. vinachimbwa katika maeneo kame yasiyo na mabwawa, ili kuondoa utegemezi wa mvua.
Katika mwaka huu wa fedha, NIRC inalenga kuchimba visima 1,300 vikiwemo 70 vitakavyochimbwa na wakandarasi katika mikoa ya Dodoma, Pwani, Tanga, Mara, Songwe, Singida, Manyara, Lindi, Mtwara, Kigoma, Geita, Morogoro, Simiyu, Ruvuma na Njombe.
Hii inadhihirisha azma ya serikali ya kuleta mageuzi makubwa katika kilimo, kuimarisha uzalishaji wa hali ya juu na kuhakikisha usalama wa chakula kwa kila Mtanzania.
Tunatarajia juhudi hizi zitaendelea kuleta mafanikio makubwa zaidi na kuiboresha sekta ya kilimo kama nguzo muhimu ya maendeleo ya taifa letu.
Ni matumaini yetu kwamba serikali itaendelea kuwekeza zaidi katika miradi ya umwagiliaji sambamba na kuhakikisha kunakuwepo usimamizi madhubuti, ikihamasisha wakulima kushiriki kikamilifu ili mafanikio katika kilimo yawe endelevu.
Hii ni njia pekee ya kuleta maendeleo ya taifa kiuchumi na ustawi wa jamii ya Watanzania ambayo sehemu kubwa wanategemea kilimo.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga
JUMATATU , 21ST APR , 2025
NA MWANDISHI WETU
Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Mwili wa David Kahela
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Silasi Kayange pamoja na ndugu wa marehemu, Godfrey Kahela ambaye ni kaka wa marehemu.
Kwa sasa chanzo halisi cha kifo hicho bado hakijajulikana, na Jeshi la Polisi limechukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi wa kina ili kubaini sababu kamili zilizopelekea kifo hicho.
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wake na limewataka wananchi kuwa watulivu huku likifuatilia kwa ukaribu tukio hilo la kusikitisha.
After losing everything to medical expenses, I found this online way. Now I’m making around $7,700 each month. >>>> https://dailycash21.blogspot.com/