Kanali Sawala akumbusha ulipaji kodi kwa hiari

MTWARA: MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala amewasihi wafanyabiashara mkoani humo kuendelea kulipa kodi kwa hiyari ili miradi mingi zaidi ya maendeleo iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Serikali mkoani humo.
Hayo yamejiri leo Septemba 29, 2025 wakati wa uzinduzi wa dawati maalumu la uwezeshaji biashara Mkoa wa Mtwara uliyofanyika katika Manispaa ya Mtwara Mikindani, linaloendeshwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Mtwara.
Aidha, ameitaja baadhi ya miradi mbalimbali ya kimkakati inayotekelezwa mkoani humo ikiwemo ujenzi wa barabara ya uchumi kutoka Mnivata- Tandahimba Newala hadi Masasi kilometa 160 unaoendelea kwa kiwango cha lami itayoenda kufungua fursa za kibiashara pamoja na shughuli mbalimbali za kijamii.
Pia Miradi mikubwa ya maji ikiwemo wa makonde uliyopo wilayani Newala utaohudumia wilaya tatu kama vile Newala, Tandahimba na Halmashauri ya Mji Nanyamba na mirdi na mingine.
“Mnaweza mkaona ni muhimu kiasi gani kodi yetu inavyotuletea maendeleo katika nchi yetu, haya yote yanawezekana ni kwasababu ya fedha ambayo inatokana na kodi yenu,”amesemwa Sawala
Meneja wa TRA mkoani humo Maimuna Khatib amesema lengo la dawati hilo ni kuwasaidia wafanyabiashara na wajasiliamali wote kukua na kutatua changamoto zao mbalimbali zinazowakabili ili siku moja waweze kushirikiana na TRA katika kuimarisha uchumi wa taifa.
Majukumu ya dawati hilo ikiwemo kuwatambua, kuwalea na kuwazesha wafanyabiashara wote waliyopo kwenye sekta rasmi na wale wasiyo kwenye sekta rasmi.
Mwenyekiti wa Chemba ya Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC) mkoani humo, Mwajuma Ankoni ameiomba TRA kuwa dhamira yao ya kuwawezesha wafanyabiashara hao ikawe mfano hai na bora kwa taasisi zingine kuona umuhimu kuwashirikisha wafanyabiashara na wajasiliamali katika kukuza biashara na kipato cha wananchi, mkoa na taifa kwa ujumla.
Kwa Upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoani humo, Hamza Licheta “Sisi wafanyabiashara tunawaahidi tunapofanya biashara ni matumaini yetu kuleta tija kwa serikali tunaamini biashara tukiitengenezwa vizuri tutaenda kulipa kodi vizuri”
SIJAWA Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
SIJAWA Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z