Simba wamtambulisha kocha aliyewahenyesha

DAR ES SALAM; KLABU ya Simba ya Dar es Salaam imemtambulisha Dimitar Pentev raia wa Bulgaria kuwa Meneja Mkuu wa timu hiyo, akitokea Gaborone United ya Botswana alikokuwa Kocha Mkuu.
Simba ilikutana na Gaborone United katika raundi ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu na Simba kusonga mbele kwa jumla ya mabao 2-1, ambapo mchezo wa kwanza Simba ilishinda bao 0-1 ugenini nchini Botswana, kisha timu hizo kufungana bao 1-1 marudiaano Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com
Cash earning job to earns more than $300 per day. getting paid weekly more than $2300 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…
.
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com