Samia: Tunamuenzi baba wa Taifa kwa utawala bora

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema chama hicho kimeendelea kumuenzi Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa kuendeleza misingi ya utawala bora unaojali utu na maslahi ya kila Mtanzania.

Dk. Samia ametoa kauli hiyo leo, Oktoba 10, wakati akihutubia wananchi wa Butiama, mkoani Mara, ikiwa ni muendelezo wa kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, ambapo ameeleza kuwa CCM bado inaenzi na kuendeleza misingi aliyoweka Mwalimu Nyerere tangu kuasisiwa kwa Taifa. “Katika kumuenzi Hayati Mwalimu Nyerere, hatuwezi kumtenganisha na misingi ya kiitikadi na kifalsafa aliyoijenga”. SOMA: Wasira asifu uhodari, uwezo wa Dk Samia

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com

  2. Start now making every month extra $19k or more by just doing an easy online job from home. Last month I earned and received $16650 from this job by giving only 3 hrs. a day. Every person can now get this job and start earning online by:-

    Open This…. http://Www.Work99.Site

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button