Vifaa vya uchaguzi vyawasili Arusha

ARUSHA: MKUU wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude amesema kuwa vifaa vyote vya uchaguzi vimeshawasili mkoani Arusha kwa ajili ya kusambazwa katika jumla ya vituo vya kupigia kura 1,051 vyenye idadi ya wapigakura 435,119 kwa jiji la Arusha
Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Arusha, DC Joseph Mkude amesisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwani ulinzi na usalama umeimarishwa huku akisisitiza hakuna maandamano Oktoba 29 bali wananchi watimize wajibu wao wa kupiga kura.
Amesema vifaa hivyo vya uchaguzi vitasambazwa kwenye mitaa 154 iliyopo jiji la Arusha huku akiongeza kuwa kampeni katika vyama mbalimbali zilifanyika kwa maeneo mbalimbali ikiwemo vyama vingine kuhitimisha kampeni zao leo kesho.

“Kampeni kwa jiji la Arusha zimeenda vizuri na hakuna fujo yoyote ile iliyotokea wagombea udiwani na ubunge walinadi sera zao vizuri na wengine wanafunga kampeni zao leo(kesho jumatano) huku ulinzi na usalama ukiwa umeimarishwa” amesema.

Amesisitiza kuwa wananchi wajitokeze kupiga kura Oktoba 29 mwaka huu na kuwatoa hofu kuwa hakuna maandamano yoyote yatakayotokea bali kazi kubwa ni kupiga kura na kwenda nyumbani.




JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com