Rais Samia kumuapisha Dk Nchemba Nov 14
RAIS Samia Suluhu Hassan atamuapisha Dk Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba 14.
Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk Moses Kusiluka imesema hafla ya uapisho wa Waziri Mkuu Mteule itafanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Dk Nchemba ameteuliwa na Rais Samia kuwa Waziri Mkuu na jina lake kuthibitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Novemba 13, 2025.




Nowadays earning money online is very easy . Eanrs every month online more than $17k by doing very easy home based job in part time u can also do this simple online Job by visiting websiteMore Details For Us→→ http://www.job40.media