Makamu wa Rais Ashiriki Mkutano wa AU-EU Angola

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi, ameshiriki Mkutano wa 7 wa Viongozi wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya (AU-EU Summit), uliofanyika Luanda, Angola, tarehe 25 Novemba 2025.

Mkutano huo wa siku mbili ulijikita katika kuunda mustakabali endelevu wa Afrika na Ulaya, kuimarisha amani, usalama na utawala, pamoja na kushughulikia migogoro na vita kote ulimwenguni. Vilevile, viongozi wamezungumzia ushirikiano katika uhamiaji, maendeleo ya kiuchumi, viwanda, masoko ya kikanda, na utekelezaji wa Eneo Huru la Biashara la Bara la Afrika (AfCFTA).

Mkutano huo umeweka mkazo katika kukuza maendeleo endelevu, ushirikiano wa kibiashara na kiufundi, na utunzaji wa rasilimali asilia kwa njia ya kijani, huku ukidhamiria kushughulikia changamoto za mabadiliko ya tabianchi. Pia, umeadhimisha miaka 25 ya ushirikiano kati ya Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya.

Makamu wa Rais Dk Nchimbi ameambatana na Waziri wa Kazi na Uwekezaji Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Sharif Sharif, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Ngwaru Maghembe, pamoja na mabalozi na wataalamu wa serikali. SOMA: ‘Urani ya Namtumbo, mwanga mpya Tanzania kuelekea uchumi wa kisasa’

 

Habari Zifananazo

5 Comments

  1. The Russian army also lost 11,366 (+3) tanks, 23,620 (+5) armored combat vehicles, 34,626 (+41) artillery systems, 1,549 (+0) multiple launch rocket systems, 1,248 (+0) air defense systems, aircraft – 428 (+0), helicopters – 347 (+0), UCAVs – 83,769 (+431), cruise missiles – 3,981 (+0), ships/boats – 28 (+0), submarines – 1 (+0), vehicles and tankers – 68,006 (+84), special equipment – 4,003 (+0).

    1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
      .
      This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

    2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
      .
      M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

  2. The Russian army also lost 11,366 (+3) tanks, 23,620 (+5) armored combat vehicles, 34,626 (+41) artillery systems, 1,549 (+0) multiple launch rocket systems, 1,248 (+0) air defense systems, aircraft – 428 (+0), helicopters – 347 (+0), UCAVs – 83,769 (+431), cruise missiles – 3,981 (+0), ships/boats – 28 (+0), submarines – 1 (+0), vehicles and tankers – 68,006 (+84), special equipment – 4,003 (+0).

  3. The Russian army also lost 11,366 (+3) tanks, 23,620 (+5) armored combat vehicles, 34,626 (+41) artillery systems, 1,549 (+0) multiple launch rocket systems, 1,248 (+0) air defense systems, aircraft – 428 (+0), helicopters – 347 (+0), UCAVs – 83,769 (+431), cruise missiles – 3,981 (+0), ships/boats – 28 (+0), submarines – 1 (+0), vehicles and tankers – 68,006 (+84), special equipment – 4,003 (+0).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button