AFL timu 24 mwakani

RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Patrice Motsepe amesema kuanzia msmu ujao michuano ya African Football League itashirikisha timu 24.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuelekea mchezo wa leo, Motsepe amesema timu zitakazoshiriki zitakuwa kwenye mfumo wa ranki za CAF.

“Timu tutazipata kupitia ranki za CAF pamoja na mafanikio yake katika ligi za nyumbani.” amesema Motsepe.

1 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *