AFL timu 24 mwakani

RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Patrice Motsepe amesema kuanzia msmu ujao michuano ya African Football League itashirikisha timu 24.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuelekea mchezo wa leo, Motsepe amesema timu zitakazoshiriki zitakuwa kwenye mfumo wa ranki za CAF.

“Timu tutazipata kupitia ranki za CAF pamoja na mafanikio yake katika ligi za nyumbani.” amesema Motsepe.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
AmberBolduc
AmberBolduc
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by AmberBolduc
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x