AFL timu 24 mwakani

RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Patrice Motsepe amesema kuanzia msmu ujao michuano ya African Football League itashirikisha timu 24.
–
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuelekea mchezo wa leo, Motsepe amesema timu zitakazoshiriki zitakuwa kwenye mfumo wa ranki za CAF.
–
“Timu tutazipata kupitia ranki za CAF pamoja na mafanikio yake katika ligi za nyumbani.” amesema Motsepe.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com