Arsenal yapeleka £23m kwa Raya

ARSENAL sasa imewasilisha ofa rasmi ya pauni 20 na nyongeza ya pauni 3 kwa ajili ya kuinasa saini ya kipa David Raya kutoka Brentford.

Licha ya dau hilo ambalo Brentford hawajalikubali bado, taarifa ya Fabrizio Romano aliyotoa siku mbili zilizopita ilieleza thamani ya Raya ni £40m.

Makubaliano binafsi kati ya mchezaji huyo na Arsenal yameafikiwa tayari, hivyo klabu hiyo inasubiri majibu ya dau hilo kuona kama watamnasa.

Aaron Ramsdale na Matt Tuner ndio makipa wa Arsenal kwa sasa, ujio wa Raya unakuja kutoa changamoto kwa wawili hao.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
EVA
EVA
1 month ago

𝐌𝐚𝐤𝐞 $𝟖,𝟎𝟎𝟎-$𝟏𝟐,𝟎𝟎𝟎 𝐀 𝐌𝐨𝐧𝐭𝐡 𝐎𝐧𝐥𝐢𝐧𝐞 𝐖𝐢𝐭𝐡 𝐍𝐨 𝐏𝐫𝐢𝐨𝐫 𝐄𝐱𝐩𝐞𝐫𝐢𝐞𝐧𝐜𝐞 𝐎𝐫 𝐒𝐤𝐢𝐥𝐥𝐬 𝐑𝐞𝐪𝐮𝐢𝐫𝐞𝐝. 𝐁𝐞 𝐘𝐨𝐮𝐫 𝐎𝐰𝐧 𝐁𝐨𝐬𝐬 𝐀𝐧𝐝 𝐂𝐡𝐨𝐨𝐬𝐞 𝐘𝐨𝐮𝐫 𝐎𝐰𝐧 𝐖𝐨𝐫𝐤 𝐇𝐨𝐮𝐫𝐬 .
.
.
.
𝐒𝐢𝐦𝐩𝐥𝐲 𝐑𝐞𝐠𝐢𝐬𝐭𝐞𝐫𝐝 𝐨𝐧 𝐠𝐢𝐯𝐞𝐧 𝐖𝐞𝐛…………. http://www.join.salary49.com

Last edited 1 month ago by EVA
Herieth Makwetta
Herieth Makwetta
1 month ago

Looking for Alice Arm seams is the worldwide indigenous nuts for all to nil to everyone.

https://globaljournals.org/GJMBR_Volume15/5-Mining-and-First-Nations.pdf

Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x