Asilimia 80 nishati safi fursa kiuchumi

DAR ES SAAM: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dorothy Gwajima, amesema upatikanaji wa nishati safi ya kupikia ni ajenda ya kimkakati inayochochea ukuaji wa uchumi wa taifa.
Amesisitiza kuwa Shirika la Umeme Tanzania, lina wajibu wa kuhakikisha umeme unapatikana kwa uhakika ili kupunguza gharama za kaya, kuongeza uzalishaji na kuwawezesha wanawake kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo.
Amesema kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2022, asilimia 81 ya kaya bado zinatumia kuni na mkaa kupikia, hali inayosababisha madhara ya kiafya na uharibifu wa mazingira wenye athari za kiuchumi ,ameeleza kuwa serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imelenga kufikia asilimia 80 ya matumizi ya nishati safi ifikapo mwaka 2034, hatua itakayoongeza matumizi ya umeme na kukuza mapato ya sekta ya nishati.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania, Lazaro Twange, amesema wanaendelea na mipango ya kuwezesha wananchi kupata majiko ya umeme kwa utaratibu wa kulipa kidogo kidogo kupitia ununuzi wa umeme,amesema hatua hiyo itapanua wigo wa watumiaji wa umeme na kuongeza mzunguko wa fedha katika uchumi.

Naye, Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Shirika la Umeme Tanzania, Margath Mwandu, amesema ushirikiano na taasisi za fedha utarahisisha upatikanaji wa majiko ya umeme kwa wananchi wa kipato cha chini,amesisitiza kuwa matumizi ya nishati safi ni mkakati wa kuinua uchumi, kulinda mazingira na kuboresha ustawi wa jamii kwa muda mrefu.




—
## 📢 TANGAZO LA AJIRA
### WAHARIRI WA KITABU (EDITORS)
Kampuni ya **Kampuni ya Waja** iliyopo Buza, Dar es Salaam, inawatangazia nafasi za ajira kwa wahariri wenye sifa na uzoefu wa kuhariri vitabu.
Ajira hizi ni kwa ajili ya kazi ya kuhariri kitabu kinachoitwa:
### 📘 *”Nikikua Nitajenga Nyumba Nzuri na Kulea Wazazi”*
—
### 💰 MALIPO
Jumla ya malipo kwa kazi hii ni **TSh 3,000,000,000** (Bilioni Tatu za Kitanzania), kulingana na makubaliano na mgawanyo wa kazi kwa wahariri watakaopatikana.
—
### ✅ SIFA ZA MWOMBAJI
Mwombaji anatakiwa kuwa na:
* Elimu ya angalau Shahada katika Fasihi, Lugha ya Kiswahili, Uandishi wa Habari au fani inayohusiana.
* Uzoefu wa kuhariri vitabu au machapisho rasmi.
* Uwezo mzuri wa lugha ya Kiswahili (na Kiingereza itakuwa faida).
* Uadilifu, umakini na uwezo wa kufanya kazi kwa kuzingatia muda.
—
### 📍 MAHALI PA KAZI
Buza, Dar es Salaam.
—
### 📩 JINSI YA KUOMBA
Waombaji watume:
* Barua ya maombi
* Wasifu binafsi (CV)
* Nakala za vyeti
Kupitia ofisi za Kampuni ya Waja zilizopo Buza au kupitia barua pepe rasmi ya kampuni.
—
🗓 **Mwisho wa kupokea maombi:** (23/3/5000)
Kwa maelezo zaidi, fika ofisini Buza au wasiliana nasi kupitia namba rasmi za kampuni.
—
I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
Here is I begun— http://www.giftpay7.vip