Mwandishi wetu

Tanzania

Bilioni 36 kujenga barabara Mbulu–Garbabi

WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, amekagua ujenzi wa barabara ya Mbulu – Garbabi (km 25), ambayo ni sehemu ya mradi…

Soma Zaidi »
Madini

‘Kutoka migodini hadi kupewa tuzo Kimataifa’

KATIKA sekta ya madini Tanzania, ambako mara nyingi wanawake wamekuwa upande wa pili wa historia. Leminatha Cornel Kabigumila amefungua mlango…

Soma Zaidi »
Afya

Dk. Mwigulu akagua jengo la mama na mtoto Haydom

WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, leo Machi 2, 2026, amekagua Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Kilutheri ya…

Soma Zaidi »
Afya

Vifo vya wagonjwa kifafa vyapungua

KATIKA wiki ya Kampeni ya Kifafa iliyofanyika Februari 5 hadi 9 mwaka huu, Chama cha Wataalamu wa Kifafa Tanzania (TEA)…

Soma Zaidi »
Utalii

Mbuni ang’ara shindano la ndege wa mwaka

SHIRIKA lisilo la kiserikali (NGO) la Nature Tanzania linalojihusisha na uhifadhi wa viumbe hai nchini limemtangaza mbuni kuwa Ndege wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

TFC kuleta mbolea tani 20,000 wiki hii

KAMPUNI ya Mbolea Tanzania (TFC) imesema tani 20,000 za mbolea ya kukuzia aina ya Urea zinatarajiwa kuingia nchini wiki hii…

Soma Zaidi »
Utalii

Watanzania waongezeka makumbusho Ngorongoro

IDADI ya Watanzania wanaotembelea Makumbusho ya Jiopaki ya Ngorongoro-Lengai yaliyopo Wilaya ya Karatu mkoani Arusha imeendelea kuongezeka. Makumbusho hayo yalizinduliwa…

Soma Zaidi »
Fedha

TRA yaagizwa usimamizi mizigo ya nje

SERIKALI imeiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuimarisha usimamizi wa mizigo inayoingia nchini kwa ajili ya kusafirishwa kwenda nchi jirani…

Soma Zaidi »
Dini

Mashindano Quran yameipa heshima Tanzania

MUFTI na Shehe Mkuu wa Tanzania, Dk Abubakar Zubeir, amesema mashindano ya kimataifa ya Quran Tukufu yanayoandaliwa na Taasisi ya…

Soma Zaidi »
Afya

Tanzania yazidi kujiimarisha uzazi salama

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali ipo tayari kuwezesha utekelezaji wa mpango wa kujenga wodi 27 za kulea watoto njiti…

Soma Zaidi »
Back to top button