Kulthum Ally

Featured

Kenya yashinda mara mbili Berlin Marathon

BERLIN: WANARIADHA wa Kenya wameibuka washindi katika mbio za 51 za Berlin Marathon kwa upande wa wanaume na wanawake, ingawa…

Soma Zaidi »
Africa

Guinra yapiga kura ya maoni kubadilisha katiba

GUINEA : RAIA wa Guinea wamepiga kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba ambayo inaweza kumruhusu kiongozi wa kijeshi, Jenerali…

Soma Zaidi »
Kimataifa

CHP yamchagua Ozel kuwa kiongozi

UTURUKI: CHAMA kikuu cha upinzani nchini Uturuki, CHP, kimemchagua tena Ozgur Ozel kuwa kiongozi wake katika mkutano mkuu uliofanyika Jumapili,…

Soma Zaidi »
Amerika

Marekani yadhibiti sheria za TikTok

WASHINGTON DC : SERIKALI ya Marekani imetangaza kuwa makampuni ya Marekani yatadhibiti mchakato wa kanuni za kompyuta (algorithm) za TikTok…

Soma Zaidi »
Africa

Mutharika aongoza matokeo ya awali urais

MALAWI: RAIS wa zamani wa Malawi, Peter Mutharika, anaongoza katika uchaguzi uliofanyika Septemba 16, 2025, kwa mujibu wa matokeo ya…

Soma Zaidi »
Infographics

Balozi Matinyi akutana na wanafunzi wa Tanzania

STOCKHOLM ,Sweden : BALOZI wa Tanzania nchini Sweden,Mobhare Matinyi (katikati aliyekunja mikono), akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wapya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Nandy avunja ukimya kuhusu ndoa yake

MTANDAONI : MSANII nyota wa Bongo Fleva, Faustina Mfinanga maarufu kama Nandy, amevunja ukimya kufuatia tetesi za kuwepo kwa mgogoro…

Soma Zaidi »
Madini

Shoo ataka wadau wajifunze teknolojia mpya

GEITA : MAONESHO ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini Geita yanatarajiwa kuzinduliwa kesho na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Mbambabay mguu sawa kumpokea Samia

NYASA, Ruvuma: WANANCHI wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wameonesha shauku ya kusikiliza sera za mgombea wa kiti cha rais…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Masoud afanya kampeni soko la darajani

UNGUJA, Zanzibar: MGOMBEA Urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, Sept 20, 2025 amefanya matembezi katika maeneo mbalimbali…

Soma Zaidi »
Back to top button