Mwandishi wetu

Jamii

RC Makalla aagiza kasi mradi wa maji Karatu

ARUSHA : MKUU wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, ameagiza Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira…

Soma Zaidi »
Madini

Majaliwa afungua maonesho ya madini Geita

GEITA : WAZIRI MKUU,Kassim Majaliwa leo Septemba 22, 2025 amefungua maonesho ya nane ya teknolojia ya madini kwa mwaka 2025…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Samia aahidi neema kwa wachimbaji madini

RUVUMA : MGOMBEA  wa kiti cha rais, kupitia Chama cha Mapinduzi, Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendelea kutoa kipaumbele uchimbaji…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Nchimbi aahidi kumaliza kero ya barabara

LUDEWA : MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia CCM 🇹🇿, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi ameahidi neema kubwa kwa wakazi wa Ludewa…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Hii ndio pawa ya CCM Namtumbo

SONGEA, Ruvuma: TOFAUTI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vingine vinavyowania ridhaa ya wananchi ni namna chama hicho kilivyoweka…

Soma Zaidi »
Africa

MCP yadai kuibiwa kura uchaguzi Malawi

MALAWI : CHAMA Tawala cha Malawi, Malawi Congress Party (MCP), kinachounga mkono Rais Lazarus Chakwera, kimesema kina ushahidi wa wizi…

Soma Zaidi »
Afya

CHATO: Wagonjwa 1,082 Wafaidika na Huduma za MOI

CHATO : ZAIDI ya wagonjwa 1,082 wamefaidika na huduma za kibingwa na kibobezi za Mifupa, Ubongo, Mgongo na Mishipa ya…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Nchimbi sasa kuwasha moto Njombe

NJOMBE : MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi ameanza rasmi kusaka kura za…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Vita na Hezbollah vyafungua fursa ya amani

JERUSALEM, Israel : WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema vita kati ya Israel na kundi la Hezbollah vimetengeneza uwezekano…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Tunaitambua Palestina – Keir Starmer

LONDON: UINGEREZA , Australia na Canada zimetangaza kulitambua rasmi taifa la Palestina, hatua inayotajwa kuwa mabadiliko makubwa ya sera za…

Soma Zaidi »
Back to top button