Kulthum Ally

Kimataifa

Shambulio la mazishi laua watu 50

Zaidi ya watu 50 wameuawa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya waasi wa kundi la ADF linaloungwa…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Kombora la Iskander laharibu jengo la serikali Kyiv

KYIV, UKRAINE : MKUU wa Utawala wa Rais wa Ukraine, Andriy Yermak, amesema shambulio lililolenga jengo la serikali mjini Kyiv…

Soma Zaidi »
Sanaa

Walii: Tazameni ujumbe wa filamu, si majina

DAR ES SALAAM : MUONGOZAJI wa filamu na msanii wa Tanzania, Adarus Walii, ameingiza sokoni filamu yake mpya iitwayo Mke…

Soma Zaidi »
Biashara

Bandari ya Mtwara yazidi kung’ara kimataifa

MTWARA : SERIKALI ya Urusi imeonyesha nia ya kutumia Bandari ya Mtwara kusafirisha bidhaa zake na kuzisambaza katika nchi jirani…

Soma Zaidi »
Chaguzi

ACT yazindua kampeni kwa kishindo Kigoma

KIGOMA : MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Kiza Mayeye amezindua rasmi kampeni zake akiahidi…

Soma Zaidi »
Fursa

RC Mtanda: Miradi ya Trilioni 5.6 yatekelezwa Mwanza

MWANZA : WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kitaifa la ufuatiliaji, tathmini na kujifunza, litakalofanyika…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

TPSA yaomba msaada wa Sh milioni 15.6

DAR ES SALAAM : CHAMA cha Kuogelea kwa Watu Wenye Ulemavu Tanzania (TPSA) kimetoa ombi la msaada wa Sh milioni…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Labour yashinda uchaguzi, Støre abaki madarakani

OSLO, NORWAY : WAZIRI Mkuu wa Norway, Jonas Gahr Støre ametangaza ushindi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika jana Jumatatu.

Soma Zaidi »
Kimataifa

Bayrou aondoka, Macron aanza mchakato kumtafuta mrithi

PARIS, UFARANSA: WAZIRI Mkuu wa Ufaransa, Francois Bayrou ameondolewa madarakani baada ya serikali yake kupoteza kura ya imani katika Bunge…

Soma Zaidi »
Chaguzi

CCK yaahidi mageuzi kwa wananchi

ARUSHA: CHAMA cha Kijamii (CCK) kimeishukuru Serikali kwa kutoa magari kwa kila mgombea kupitia Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) pamoja…

Soma Zaidi »
Back to top button