Rehema Lugono

Infographics

Waandishi watakiwa kuithibitishia dunia Tanzania ni nchi ya amani

MBEYA : SERIKALI imesema waandishi wa habari wana jukumu la kuithibitishia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye umoja, amani na…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Msajili ahoji maelezo ugombea wa Mpina

DAR-ES-SALAAM : OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekiandikia barua Chama cha ACT Wazalendo kikitaka maelezo kuhusiana na malalamiko…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Wafanyabiashara tumieni fursa za uchaguzi

DODOMA : WAJASIRIAMALI wametakiwa kujipanga kufanya biashara wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu kwenye maeneo yao ili wajiinue kiuchumi.

Soma Zaidi »
Chaguzi

Bakwata yatahadharisha chuki, visasi uchaguzi mkuu 2025

DODOMA :BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Dodoma limevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu viimarishe umoja badala…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Mwanahabari apitishwa udiwani Handeni

HANDENI : CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Handeni mkoani Tanga kimetangaza majina ya wagombea udiwani. Mwandishi wa habari na mdau…

Soma Zaidi »
Chaguzi

CCM yataka viwanda vichangie 25% pato Z’bar

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaielekeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) iongeze mchango wa sekta ya viwanda katika Pato…

Soma Zaidi »
Chaguzi

NLD yaahidi elimu bure hadi vyuo vya kati

CHAMA cha National League for Democracy (NLD) kimesema serikali yake itatoa elimu bure hadi kidato cha sita na vyuo vya…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Kuagiza bahari ifukiwe kupata ardhi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaielekeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ianze mpango wa kufukia bahari ili kupata ardhi…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Askofu: Tukatae rushwa Uchaguzi Mkuu

TANGA : KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Mashariki limetoa wito kwa wananchi kukataa rushwa za…

Soma Zaidi »
Infographics

Maofisa Waandamizi Jeshi la Polisi wajipanga kuimarisha amani

DODOMA : MAOFISA Waandamizi wa Jeshi la Polisi nchini wameazimia kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa 2025 unafanyika katika hali ya amani,…

Soma Zaidi »
Back to top button