Mwandishi Wetu

Michezo na Burudani

Vodacom mdhamini mkuu Mashindano ya Gofu

Dar es Salaam: Vodacom Tanzania Plc imesaini mkataba na Chama cha Gofu Tanzania, huku kampuni hiyo ya mawasiliano ikijitokeza kuwa…

Soma Zaidi »
Featured

Tanzania, Afrika Kusini zaingia makubaliano kuimarisha ushindani, kulinda watumiaji

FCC YAIMARISHA USHIRIKIANO NA TUME YA USHINDANI YA AFRIKA KUSINI Afrika Kusini: Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) imeingia makubaliano rasmi…

Soma Zaidi »
Gesi

PURA yaikaribisha Chevron Tanzania kuwekeza sekta ya mafuta, gesi asilia

ACCRA, GHANA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeikaribisha moja ya kampuni  kubwa ya nishati ya Marekani ijulikanayo…

Soma Zaidi »
Muziki

Mdundo yaanika mpango wa kuwajaza wasanii bilioni 5.7/-

DAR ES SALAAM: Mdundo, jukwaa kinara barani Afrika la usambazaji wa muziki, linaendelea kubadilisha tasnia ya muziki kwa kuwawezesha wasanii…

Soma Zaidi »
Africa

Ripoti yataka hatua za kisera kukabili changamoto za kujifunza

EMBU, KENYA: Ripoti mpya ya elimu imependekeza kuchukuliwa hatua za haraka na madhubuti za kisera zinazotokana na utafiti ili kukabiliana…

Soma Zaidi »
Featured

Mamlaka Tanzania, Algeria zajadili kuinua sekta ya petroli, gesi asilia

ALGIERS, ALGERIA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli nchini (PURA) na Mamlaka ya Udhibiti wa Petroli Algeria (ARH)…

Soma Zaidi »
Fursa

FCC yawavuta wawekezaji IATF

ALGIERS, ALGERIA: Tanzania imejipambanua kama nchi salama na yenye ushindani katika kuvutia uwekezaji kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani…

Soma Zaidi »
Gesi

Balozi, bosi Sonatrach wateta fursa za uwekezaji sekta ya mafuta, gesi asilia

Algiers, Algeria: Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Iman Njalikai amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyekiti na mkurugenzi mtendaji wa Kampuni…

Soma Zaidi »
Dodoma

Watumishi Moi wakumbushwa maadili, lugha za staha

DODOMA: WAFANYAKAZI wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wamekumbushwa kufanya kazi kwa uadilifu, kutumia lugha za staha…

Soma Zaidi »
Gesi

PURA, ALNAFT wakutana Algiers kujadili namna ya kuinua sekta ya gesi asilia

Algiers, Algeria: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Nchini (PURA) imekutana na kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti…

Soma Zaidi »
Back to top button