Mwandishi Wetu

Muziki

Mdundo yaanika mpango wa kuwajaza wasanii bilioni 5.7/-

DAR ES SALAAM: Mdundo, jukwaa kinara barani Afrika la usambazaji wa muziki, linaendelea kubadilisha tasnia ya muziki kwa kuwawezesha wasanii…

Soma Zaidi »
Africa

Ripoti yataka hatua za kisera kukabili changamoto za kujifunza

EMBU, KENYA: Ripoti mpya ya elimu imependekeza kuchukuliwa hatua za haraka na madhubuti za kisera zinazotokana na utafiti ili kukabiliana…

Soma Zaidi »
Featured

Mamlaka Tanzania, Algeria zajadili kuinua sekta ya petroli, gesi asilia

ALGIERS, ALGERIA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli nchini (PURA) na Mamlaka ya Udhibiti wa Petroli Algeria (ARH)…

Soma Zaidi »
Fursa

FCC yawavuta wawekezaji IATF

ALGIERS, ALGERIA: Tanzania imejipambanua kama nchi salama na yenye ushindani katika kuvutia uwekezaji kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani…

Soma Zaidi »
Gesi

Balozi, bosi Sonatrach wateta fursa za uwekezaji sekta ya mafuta, gesi asilia

Algiers, Algeria: Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Iman Njalikai amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyekiti na mkurugenzi mtendaji wa Kampuni…

Soma Zaidi »
Dodoma

Watumishi Moi wakumbushwa maadili, lugha za staha

DODOMA: WAFANYAKAZI wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wamekumbushwa kufanya kazi kwa uadilifu, kutumia lugha za staha…

Soma Zaidi »
Gesi

PURA, ALNAFT wakutana Algiers kujadili namna ya kuinua sekta ya gesi asilia

Algiers, Algeria: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Nchini (PURA) imekutana na kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mkurugenzi Puma ashauri wakuu taasisi za umma kuepuka urasimu

ARUSHA: Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah amewashauri wakuu wa taasisi zilizo chini ya Serikali kuzingatia ubunifu na…

Soma Zaidi »
Biashara

Vodacom inavyochochea mageuzi ya kidijitali kupitia ukuaji, matumizi ya data

Dar es Salaam: Vodacom Tanzania imeripoti ongezeko kubwa la matumizi ya data katika mtandao wake kwa mwaka wa fedha ulioishia…

Soma Zaidi »
Biashara

Namna StartHub Africa inavyowainua vijana wa Kitanzania kupitia ujasiriamali

Dar es Salaam: Shirika la kusaidia wajasiriamali, StartHub Africa, limeendelea kuongeza juhudi za kuwapatia vijana wa Kitanzania ujuzi, ushauri na…

Soma Zaidi »
Back to top button