Aweso akabidhi vitendea kazi DAWASA
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amekabidhi vitendea kazi kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA).

Vifaa vilivyokabidhiwa DAWASA ni kwa dhumuni la kuimarisha utendaji kazi wa watumishi.
SOMA: Dawasa wapewa maagizo matano
Waziri Aweso amekabidhi magari mawili aina Toyota Hilux (pick up), magari ya majitaka sita, pikipiki za magurudumu matatu (bajaji) 25, pikipiki za magurudumu mawili 200 pamoja na maguta 10 yatakayotumika kufanikisha ubebaji na kutoa huduma ya majisafi na usafi wa mazingira katika maeneo ya huduma ya DAWASA.
Waziri Aweso amewataka watumishi wote wa DAWASA kuongeza juhudi na ufanisi pamoja na kuwa waaminifu katika kazi zao kila siku ili kutoa huduma bora kwa wananchi.




I make up to $90 an hour working from my home. My story is that I quit working at Walmart to work online and with a little effort I easily bring in around $40h to $86h… Someone was good to me by sharing this link with me, so now i am hoping i could help someone else out there by sharing this link…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com