Balla Conte ni mwananchi bwana!

DAR ES SALAAM; KLABU ya Yanga imethibitisha rasmi kuwa kiungo Moussa Balla Conte raia wa Guinea anayechezea timu ya CS Sfaxien ya Tunisia, amejiunga na klabu hiyo.

DAR ES SALAAM; KLABU ya Yanga imethibitisha rasmi kuwa kiungo Moussa Balla Conte raia wa Guinea anayechezea timu ya CS Sfaxien ya Tunisia, amejiunga na klabu hiyo.