Bangala atambulishwa Chamazi

BAADA ya muda mchache uliopita Yanga kutoa taarifa ya kuagana na Bangala, hatimaye Azam FC imemtambulisha rasmi mchezaji huyo na kusaini mkataba wa miaka miwili.

“Tumefikia makubaliano na klabu ya Yanga ya kumnunua, mchezaji kiraka, Yannick Bangala na amesaini mkataba wa miaka miwili baada ya kufuzu vipimo vya afya. Bangala karibu Mbagala.” Imeeleza taarifa ya Azam FC.

Awali, Yanga ilitoa taarifa ya kufikia makubaliano na klabu hiyo juu ya kumnunua mchezajji huyo raia wa DR Congo.

Bangala anakuwa mchezaji wa pili msimu huu kutoka Yanga kwenda Chamazi, baada ya Feisal Salum kufanya hivyo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Elsa J. Clark
Elsa J. Clark
1 month ago

Presently You’ll gain Up To from 99000 Bucks A Month! There are no confinements, Be Your Claim Boss, it All depends on you And how much you want to earn each day. {vfa-254} This is often a veritable and ensured strategy for gratis to win a tremendous entirety of cash at domestic.
.
.
Tap THIS Interface_____ https://Fastinccome.blogspot.Com/

Julia
Julia
1 month ago

My most recent pay test was $9,500 for 12 hours of internet labor each week. For months, my friend has been averaging 15,000 and working roughly 20 hours each week. I couldn’t believe how simple it got once I tried it.
.
.
Detail Here———————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Money
Money
1 month ago

Taulo za kike na VITU VYA KWETU

Tangazo.PNG
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x