Bodaboda wapongezwa ushiriki afya bonanzi 2025

MANYARA: Shirika la RAFIKI Wildlife Foundation lenye makao yake Wilaya ya Babati mkoani Manyara limesema afya bora huanza kwa kufanya mazoezi ya viungo yanayosaidia kujenga urafiki, undugu na kuondoa tofauti za kimitazamo.
Mkurugenzi wa Shirika la RAFIKI Wildlife Foundation,Clement Matwiga amesema hayo katika tamasha la Boda Boda Afya Bonanza 2025 lililofanyika uwanja wa Tanzanite Kwaraa Wilaya ya Babati Mkoa wa Manyara mwishoni mwa wiki.
Amesitiza kuwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa la kuwataka watanzania kuwa na utamaduni wa kufanya mazoezi ya viungo ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza.
”Tamasha hili limelenga utoaji wa elimu ya afya, uhamasishaji wa vijana kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu,utii wa sheria na usalama barabarani na kutoa zawadi ya fedha taslimu kwa washindi wa mashindano wa maafisa usafirishaji,”mesema Matwiga.
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com