Fedha

Serikali yaasa wananchi kutowekeza fedha penye vihatarishi

SERIKALI imetoa rai kwa Wananchi kuwekeza fedha zao sehemu sahihi na salama badala ya kuwekeza fedha mahali ambapo pana vihatarishi.…

Soma Zaidi »

Kilimanjaro waaswa kuacha matumizi mabaya ya fedha

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amewaasa wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro kuacha matumizi mabaya ya fedha, huku wengine…

Soma Zaidi »

TRA yakusanya bil 92/- miezi sita Kagera

KAGERA:MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Kagera imekusanya Sh bilioni 92.3 kwa kipindi cha Julai – Desemba sawa na asilimia…

Soma Zaidi »

‘Elimu ya fedha itachochea maendeleo yetu kiuchumi’

Wananchi wa Kata ya Makanya, Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro, wameipongeza Serikali kwa kuwapelekea elimu ya fedha ambayo inatarajia kuwa…

Soma Zaidi »

Tutuba aisifu Selcom Pesa mapinduzi huduma za kifedha

BENKI ya Selcom Microfinance Tanzania Limited imezindua rasmi huduma yake mpya ya kifedha ya kidigitali ijulikanayo kama SELCOM PESA, inayolenga…

Soma Zaidi »

Wadau wa kodi wataka haki mizozo na TRA

MFUMO wa kodi nchini Tanzania una kazi kubwa kufadhili huduma za umma na maendeleo yakiwamo ya miundombinu nchini. Pamoja na…

Soma Zaidi »

TRA yakusanya bil 116/- Mtwara

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Mtwara imefanikiwa kukusanya Sh bilioni 116 kwa mwaka fedha 2023/2024. Hayo yamejiri wakati wa…

Soma Zaidi »

Wataalamu wa ununuzi, ugavi waaswa kuzingatia maadili

WATAALAMU wa sekta ya ununuzi wa umma wameaswa kuzingatia maadili ya taaluma ya fani yao katika usimamizi wa miradi ya…

Soma Zaidi »

Ulipaji kodi kidijiti wapigiwa chapuo

MJADALA katika toleo lililopita ulibainisha kuwa, maboresho ya kodi na miundo ya ujumuishaji ya hatua kwa hatua ni muhimu katika…

Soma Zaidi »

Benki Kuu ya Uganda yapoteza Bilioni 62

UGANDA: POLISI nchini Uganda imethibitisha kuwashikilia maafisa tisa wa Wizara ya Fedha kwa uchunguzi wa tuhuma za kudukua mifumo ya…

Soma Zaidi »
Back to top button