Uchumi

Serikali yapewa ushauri pato la Dola tril 1/

WATAALAMU wa uchumi wameishauri serikali izingatie nguzo tatu za Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025-2050 ili kufikia lengo la nchi…

Soma Zaidi »

Serikali yasisitiza ufanisi kwa Taasisi za Umma

SERIKALI imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa iwapo hayatachukua hatua…

Soma Zaidi »

Nyuki wageuzwa kisima cha mapato, uhifadhi mazingira

MANISPAA ya Songea katika Mkoa wa Ruvuma ina simulizi nzito ya mizinga 78 ya nyuki inayohusu hatua za ujasiri na…

Soma Zaidi »

Bandari ya Tanga yazidi kufunguka

TANGA: BANDARI ya Tanga imezidi kufunguka kutokana na kupokea meli za mizigo kwa wingi ambapo MV Parnia yenye mizigo ya…

Soma Zaidi »

ATCL kuongeza vituo vitatu kimkakati

SERIKALI imesema Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) linazidi kuimarika na litaongeza vituo vitatu kimkakati. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson…

Soma Zaidi »

Shirika la kimataifa kuendeleza ushirikiano miradi na Tanzania

SHIRIKA la Maendeleo ya Mfuko wa Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UNDCF) limekubali kuendelea kushirikiana na Tanzania katika kutekeleza Programu…

Soma Zaidi »

Ukarabati wa uwanja wa ndege Tabora wafikia 98%

WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amepongeza kiwango cha kisasa cha jengo jipya la abiria katika Uwanja wa Ndege wa…

Soma Zaidi »

Wanawake wanavyochangamkia kilimo ikolojia kuzalisha mazao ya asili

KILIMO ikolojia ni mfumo wa ukuzaji mimea au mifugo kwa njia jumuishi inayowezesha kufikia ustawi wa kijamii kimahitaji, kimazingira na…

Soma Zaidi »

Mafunzo ukusanyaji taarifa za viwanda yaanza Arusha

ARUSHA;  Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk Hashil Abdallah, amesema  serikali imejipanga vema kuhakikisha changamoto ya ajira kwa…

Soma Zaidi »

Mikono ya vijana ‘ijenge nyumba’ yao si kuibomoa

WADAU mbalimbali wa maendeleo kwa nyakati tofauti wanazungumzia nafasi na umuhimu wa nguvukazi ya vijana kujenga nyumba yao (taifa), badala…

Soma Zaidi »
Back to top button