Uchumi

TARURA Ruvuma kutekeleza miradi ya bil 22/-

WAKALA ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Ruvuma umeendelea kunufaika na uwekezaji mkubwa wa Serikali katika miundombinu…

Soma Zaidi »

PPP nguzo ya utekelezaji Dira 2050

NI asubuhi yenye upepo mwanana katika viunga vya Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (RUCU) mkoani Iringa. Ndani ya ukumbi wa…

Soma Zaidi »

Uhusiano bora na walipakodi unavyoongeza mapato TRA

KATIKA siku za karibuni kumekuwa na mapinduzi makubwa ya kiutendaji na ukusanyaji wa kodi ndani ya Mamlaka ya Mapato Tanzania…

Soma Zaidi »

Dk. Mwinyi akutana na watendaji wa UNESCO

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Watendaji wa Tume…

Soma Zaidi »

Dk. Mwinyi asifu mafanikio ya uchumi shirikishi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema mageuzi ya uchumi na fedha yaliyotekelezwa…

Soma Zaidi »

Serikali yajipanga kuzalisha nguvu kazi

SERIKALI imepongeza Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa kuandaa mkutano muhimu kwa kushirikiana na Wizara ya…

Soma Zaidi »

Dhahabu, nafaka, utalii vyapaisha mauzo nje

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema mauzo ya bidhaa na huduma nje yameongezeka. Taarifa ya Tathmini ya Uchumi ya BoT…

Soma Zaidi »

Miaka 10 ya TBPL, kilimo, afya mambo safi

PWANI: SERIKALI imesema Kiwanda cha Tanzania Biotech Products Ltd (TBPL) kimekuwa nguzo muhimu katika sekta ya afya na kilimo kwa…

Soma Zaidi »

NEEC: Wananchi wanapaswa kupata fursa sawa kiuchumi

DAR ES SALAAM: Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limesema wananchi wote wanapaswa kupata fursa sawa za kiuchumi ili…

Soma Zaidi »

Korosho Marathon 2025 yaiva

MTWARA; BODI ya Korosho kwa kushirikiana na Kampuni ya Makanjiro imeandaa Korosho Marathon 2025 kwa nia ya kuchangisha fedha kununua…

Soma Zaidi »
Back to top button