Habari Kwa Kina

Wananchi tushiriki kampeni kubaini wagombea bora

KAMPENI za wagombea nafasi ya urais, ubunge na udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 zinaendelea nchini.

Soma Zaidi »

Akili unde isichafue pambazuko la wanawake kuchaguliwa 2025

MWAKA 2025 kumepambazuka kwa wanawake kuchanua katika siasa na uongozi na ndio maana ‘Kura Yako ni Haki Yako Jitokee Kupiga…

Soma Zaidi »

Kampeni za uchaguzi ziwe za kistaarabu

USTAARABU katika kampeni ni jambo muhimu sana ili kuhakikisha mchakato wa uchaguzi unaendeshwa kwa kuzingatia heshima, uwazi, usawa, kupinga chuki…

Soma Zaidi »

Tusikilize sera kwenye kampeni, wavuruga amani tuwakatae

WAKATI siku za kampeni zikiendelea nchini wagombea na vyama vyao vya siasa wameshaanza kupanda majukwaani kunadi sera za vyama vyao…

Soma Zaidi »

Msajili ataka wanasiasa watii sheria

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa imewataka viongozi wa vyama hivyo kutii sheria za nchi na kusisitiza ofisi hiyo…

Soma Zaidi »

Wanawake waandika rekodi mpya uchaguzi 2025

DODOMA : KATIKA mbio za kuwania kiti cha Rais na Makamu wa Rais kwa Uchaguzi Mkuu 2025, taifa linashuhudia rekodi…

Soma Zaidi »

Uchunguzi maabara waimarisha usalama, ubora

KATIKA juhudi za kulinda afya ya jamii, Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imejidhatiti kuhakikisha kuwa dawa na vifaa…

Soma Zaidi »

‘Uzazi wa mpango utafanikisha utekelezaji Dira 2050’

WATANZANIA wametakiwa kujiunga na huduma za uzazi wa mpango ili kuiwezesha nchi kutekeleza kwa ufanisi malengo mahususi yaliyoainishwa katika Dira…

Soma Zaidi »

Mabadiliko ya Kijani Yaanza Tanzania

KATIKA jiji linaloamka kila alfajiri na sauti za magari, minada ya sokoni, na kelele za maisha ya kila siku, kuna…

Soma Zaidi »

Dawa Rafiki Yaokoa Mazao

KATIKA mashamba mengi ya Tanzania, hasa maeneo ya nyanda za juu kusini kama Iringa, uzalishaji wa nyanya ni zaidi ya…

Soma Zaidi »
Back to top button