Infographics

Harmonize, Abigail wazindua Hit ya Kimataifa

DAR-ES-SALAAM : MSANII wa Bongo Fleva, Rajab Abdul 'Harmonize', ameungana tena kimuziki na mrembo mwenye kipaji Abigail Chamungwana 'Abigail Chams'…

Soma Zaidi »

Madeleka atwaa fomu ubunge Kivule

DAR ES SALAAM: WAKILI maarufu nchini, Peter Madeleka leo Agosti 24, 2025 amechukua fomu ya uteuzi ya kugombea ubunge wa…

Soma Zaidi »

Mifugo 148,172 kuchanjwa Handeni

TANGA; ‎ Mifugo 148,172 katika Halmashauri ya Mji Handeni, mkoani Tanga, inatarajiwa kuchanjwa dhidi ya magonjwa ya kideri, sotoka na…

Soma Zaidi »

Samia aongoza kikao Kamati Kuu Dodoma

DODOMA: Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati…

Soma Zaidi »

Mradi utafiti wa utamaduni, ubunifu kuzinduliwa Dar

DAR ES SALAAM:Serikali kwa kushirikiana na Taasisi isiyo ya kiserikali ya Tanzania Bora Initiative inatarajia kuzindua mradi mpya wa utafiti…

Soma Zaidi »

Yanga, Dodoma Jiji wakwama kupiga kura TFF

TANGA; YANGA ya Dar es Salaam ni miongoni mwa klabu tatu za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizokosa sifa ya kupiga…

Soma Zaidi »

Mahakama kutoa amri J’tatu ushahidi ‘live’ kesi ya Lissu

DAR ES SALAAM; MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema Agosti 18,2025 itatoa amri kuhusu kurushwa mubashara kwa maelezo ya mashahidi…

Soma Zaidi »

Yas yajivunia mchango sekta ya kilimo

DODOMA; KUPITIA Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Yas Kanda ya Kati, Said Idd ameeleza namna Yas inavyochangia…

Soma Zaidi »

Marekani yaamua kutoza Afrika dhamana

MAREKANI : WIZARA ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kwamba raia kutoka Zambia na Malawi watalazimika kulipia dhamana ya…

Soma Zaidi »

Madaktari waongezeka kwenye Ithibati

DAR ES SALAAM; Dk Cosmas Mwaisobwa, Msaidizi wa Makamu wa Rais (hotuba) amepokea Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Presscard) kutoka…

Soma Zaidi »
Back to top button