Infographics

Serikali yajizatiti kukabili upungufu wa maji Dar, Pwani

DAR ES SALAAM: Serikali itaendelea kuchukua hatua zote za dharura kuhakikisha mikoa ya Dar es Salaam na Pwani inaendelea kupata…

Soma Zaidi »

Walanguzi tiketi za abiria kikaangoni

GEITA: JESHI la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani limekemea vikali tabia ya mawakala wa mabasi ya abiria kufanya ulanguzi wa…

Soma Zaidi »

Makalla awafikia bajaji, bodaboda

IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumatatu Desemba 15, 2025 ameongoza kikao cha kusikiliza kero…

Soma Zaidi »

RC Kheri: Haki ni chanzo cha amani na maendeleo

IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amesema umoja na mshikamano wa Watanzania, amani ya nchi na maendeleo yanayoonekana…

Soma Zaidi »

PICHA: Matukio mkutano wa 9 mkuu majeshi ya ulinzi

  TANGA: Matukio mbalimbali wakati wa Mkutano wa 9 wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na makamanda uliofanyika katika Shule…

Soma Zaidi »

Gereza la Kibondo labuni mkaa mbadala nishati safi

KIGOMA: JESHI la Magereza wilayani Kibondo mkoani Kigoma limeanza kutumia mkaa mbadala unaotokana na mchanganyiko wa maranda ya miti na…

Soma Zaidi »

Nishati safi yaongeza ufanisi magereza

MKUU wa Gereza la Bukoba, Aloyce Kalihamwe amesema matumizi ya nishati safi ya kupikia yameleta mageuzi makubwa katika utekelezaji wa…

Soma Zaidi »

Chande awafunda wahitimu chuo cha wanyamapori

KILIMANJARO: Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande amewataka wahitimu wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka, kuzingatia…

Soma Zaidi »

Ulega: Vijana lindeni amani

WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa wito kwa vijana walinde amani ya Tanzania. Ulega alisema amani ni nguzo ya maendeleo…

Soma Zaidi »

Rais Samia ateua Mkurugenzi Mkuu PSSSF

DODOMA; RAIS Samia Suluhu Hassan, amemteua Fortunatus Magambo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa…

Soma Zaidi »
Back to top button