Infographics

Wakili Ambindwile: Tujaze sanduku la kura kwa Samia na Mwinyi

IRINGA: Wakili maarufu na kada shupavu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Moses Ambindwile, ametoa wito kwa Watanzania wote kujitokeza kwa…

Soma Zaidi »

Vijana Mwanza wahamasishwa uchaguzi mkuu

MWANZA: VIJANA nchini wameshauriwa kujitokeza kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 ili waweze kupiga kura ikiwa ni sehemu…

Soma Zaidi »

COPRA yakabidhi tani 1.5 za mbegu ya kisasa Mwanza

MWANZA: MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imekabidhi Mbegu ya kisasa ya Choroko tani moja na nusu…

Soma Zaidi »

“Michezo muhimu kwa afya”

MOROGORO: WANAMICHEZO 636 kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania na taasisi nyingine zinazohusiana na bandari wameshiriki michezo mbalimbali (Interports…

Soma Zaidi »

NECTA imechukua uamuzi sahihi maarifa lugha za kigeni

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) limeandika ukurasa mpya katika historia ya elimu nchini kwa kujumuisha lugha za kigeni katika…

Soma Zaidi »

Serikali yatafuta wawekezaji bandari zote

KITUO cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) kimesema serikali inatafuta wawekezaji kwa ajili ya kuwekezakatika bandari…

Soma Zaidi »

Mongella : Kiongozi wa Maono,Usawa wa Kijinsia

KATIKA historia ya Tanzania na Bara la Afrika kwa ujumla, majina machache yamebaki kuwa alama ya mapambano ya wanawake na…

Soma Zaidi »

ADC yaahidi kuruhusu uraia pacha

MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Allience For Democratic Change (ADC), Wilson Mulumbe ameahidi iwapo atachaguliwa kushika dora katika…

Soma Zaidi »

CCM yaja na mpango kuboresha barabara Moro

MOROGORO: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kuwa endapo kikipata ridhaa ya kuongoza tena miaka mitano ijayo, kitaanza kusuka upya miundombinu…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Serikali itaendelea kufanya mageuzi sekta ya kilimo

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imedhamiria kuendelea kufanya mageuzi katika sekta ya kilimo ili kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa…

Soma Zaidi »
Back to top button