Jamii

Askofu awasihi vijana kudai haki kwa kuzingatia amani

ASKOFU wa Jimbo la Dodoma wa Kanisa la Tanzania Missionary Revival Church (TMRC) Dickson Chiulei amewashauri vijana watakaopata msamaha wa…

Soma Zaidi »

Waombwa kuwaunga mkono wahitimu VETA Kongwa

WITO umetolewa kwa wananchi kushiriki katika kutangaza na kutumia bidhaa zinazozalishwa na wanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) ili…

Soma Zaidi »

HLI wajifungia kutafakari muswada wa ujinsia EALA

ARUSHA; WAWAKILISHI wa shirika la kimataifa la kutetea uhai la Human Life International (HLI) Kanda ya Afrika Mashariki wanakutana mjini…

Soma Zaidi »

Ulega asimamisha kazi watumishi Tanroads

SERIKALI imewasimamisha kazi watumishi wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) wanaodaiwa kuhusika na uzembe wa kutoshughulikia tatizo la mizani ya…

Soma Zaidi »

Baba afanya mauaji ya mtoto kisha ajinyonga

MWANAUME mmoja, Derick Mwangama (23), mkazi wa Kijiji cha Mpandapanda, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, amemuua mtoto wake Devina Derick…

Soma Zaidi »

Wenyeviti waagizwa kuwa karibu na wananchi

WENYEVITI wa vijiji na vitongoji wilayani Monduli wametakiwa kuwa karibu na wananchi na kuhakikisha wanasikiliza na kutatua changamoto zao ili…

Soma Zaidi »

Diwani Manara aanza na kasi Kariakoo

DAR ES SALAAM: DIWANI mpya wa Kata ya Kariakoo, Haji Manara, ameishukuru jamii ya Kariakoo kwa kujitokeza kwa wingi na…

Soma Zaidi »

Mikataba wafanyakazi wa nyumbani kilio cha wengi

DAR ES SALAAM; MIKATABA ya maandishi ya ajira kwa wafanyakazi wa nyumbani imetajwa kuwa ni kilio cha wengi kisichokuwa na…

Soma Zaidi »

Chalamila aagiza mabasi mwendokasi yaanze kesho

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameagiza wadau wanaotoa huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka kuhakikisha…

Soma Zaidi »

Kesi vurugu za uchaguzi Mwanza yaahirishwa

MWANZA; KESI inayowakabili watuhumiwa 11 kati ya 172 wanaodaiwa kuhusika na matukio ya uhalifu yaliyotokea baada ya Uchaguzi Mkuu wa…

Soma Zaidi »
Back to top button