Jamii

Rais Samia ateta na Miss World

ZANZIBAR; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na uongozi wa Kampuni ya Miss World Limited ulioongozwa…

Soma Zaidi »

Mtoto adaiwa kuua baba, kumtumbukiza chooni

PWANI; JESHI la Polisi, Mkoa wa Pwani linamshikilia mkazi wa Mtaa wa Muhenza, Wilaya ya Kibaha, Rajabu Musa (23) kwa…

Soma Zaidi »

Epukeni ‘WiFi’ ya bure kulinda taarifa

JAMII imeshauriwa kujiepusha na matumizi ya mitandao ya intaneti ya bure ili kulinda taarifa zao binafsi dhidi ya wizi wa…

Soma Zaidi »

Oryx Energies Tanzania yaja kivingine usalama bodaboda, Bajaji

DAR ES SALAAM; KAMPUNI ya Oryx Energies Tanzania Limited, imezindua  rasmi kampeni ya kitaifa ya uhamasishaji wa usalama barabarani ijulikanayo…

Soma Zaidi »

Mtendaji wa Kijiji ajiua kwa sumu ya panya

MTENDAJI wa Kijiji cha Ulowa Namba Moja, Kata ya Ulowa, Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Juliana Mkumbo (30)…

Soma Zaidi »

Bodi ya Ithibati yaanza kung’ata

DAR ES SALAAM; Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), imewapiga marufuku watangazaji wanne kujihusuisha na masuala ya kihabari…

Soma Zaidi »

Wanafunzi kidato cha 4 wafa ajali ya bodaboda, lori

MOROGORO; WANAFUNZI wawili wa kidato cha nne wa Shule ya Morogoro Sekondari, Lusajo Mwang’onda (18) na Ghalib Omary (18) wakazi…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi ahimiza amani Dira 2050

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema mafanikio katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yanategemea uwepo wa…

Soma Zaidi »

Sheria za China Kutambua Kiswahili

DAR-ES-SALAAM : LUGHA ya Kiswahili imetambuliwa rasmi kuwa nyenzo muhimu katika kukuza uelewa wa kisheria na kitamaduni kati ya Tanzania…

Soma Zaidi »

Wahamiaji haramu 126 wadakwa Geita

GEITA; IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Geita imewakamata wahamiaji haramu 126, ambao ni raia wa Burundi walioingia nchini, kufanya kazi…

Soma Zaidi »
Back to top button