Kimataifa

Diddy aomba rufaa kupinga kifungo

MSANII maarufu wa muziki wa rap, Sean “Diddy” Combs, ameomba Mahakama ya Rufaa ya Marekani imwachilie huru na kutengua hukumu…

Soma Zaidi »

Papa Leo XIV kuongoza misa ya kwanza Krismasi

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, anatarajiwa kuongoza Misa yake ya kwanza ya Krismasi katika Basilika ya Mtakatifu…

Soma Zaidi »

Papa Leo XIV aitaka Dunia kusitisha mapigano Krismasi

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ametoa wito wa kusitisha mapigano kwenye maeneo yenye migogoro duniani wakati wa…

Soma Zaidi »

Indonesia yachangia Dola Bilioni 1 Benki ya Maendeleo BRICS

INDONESIA imeweka wazi dhamira yake ya kuimarisha ushirikiano wa kifedha kwa nchi zinazoendelea kwa kutangaza mchango wa dola bilioni 1…

Soma Zaidi »

FDA yaidhinisha kidonge Wegovy kupunguza uzito

MAMLAKA ya Chakula na Dawa ya Marekani (FDA) imeidhinisha matumizi ya toleo la vidonge vya dawa ya kupunguza uzito ya…

Soma Zaidi »

Ethiopia yapiga marufuku mifuko ya plastiki

MAMLAKA ya Kulinda Mazingira nchini Ethiopia imetangaza kuwa itaanza kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki kuanzia Januari 31, 2026.…

Soma Zaidi »

Raia 119 wa Kenya waokolewa Myanmar

SERIKALI ya Kenya imesema kuwa imefanikiwa kuwaokoa raia wake 119 waliokuwa wamekwama nchini Myanmar. Katika taarifa iliyotolewa na Wizara ya…

Soma Zaidi »

Afrika kuendelea kushirikiana na Urusi

SERIKALI ya Tanzania imetaja vipaumbele vya kuzingatiwa katika ushirikiano kati ya Afrika na Urusi. Waziri wa Mambo ya Nje na…

Soma Zaidi »

Diageo yauza hisa zote EABL kwa Asahi Group

Nairobi, Kenya: Kampuni ya East African Breweries PLC (EABL) imetangaza kuwa kampuni ya Diageo imekubali kuuza hisa zake zote za…

Soma Zaidi »

Trump aahidi kuboresha uchumi 2026

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amelihutubia taifa leo Alhamisi, akieleza mipango yake ya kuifanya Marekani kuwa imara zaidi kuliko ilivyokuwa…

Soma Zaidi »
Back to top button