Kimataifa

Tanzania kuunga mkono amani Ukanda wa Maziwa Makuu

CONGO: TANZANIA imeunga mkono ajenda zote muhimu zilizojadiliwa katika Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya…

Soma Zaidi »

Mzozo Ukraine unavyonufaisha muungano wa magharibi

UKRAINE: Kadri vita nchini Ukraine inavyozidi kudumu, Ulaya imeendelea kujionesha kama mtetezi wa demokrasia na uhuru wa mataifa. Lakini mitazamo…

Soma Zaidi »

Nani anaamua uhuru wa waafrika kusafiri?

DAR ES SALAAM: Wakati Taifa la Marekani lilipotangaza Watanzania watalazimika kulipa hadi Dola 15,000 ili kupata visa ya biashara au…

Soma Zaidi »

Laikipia inavyoendelea kuwa chini ya ukoloni

NAIROBI: Katikati ya Laikipia, mji tulivu wa Kenya ambao bado unakumbwa na kivuli cha ukoloni, familia nyingi bado zinaomboleza na…

Soma Zaidi »

Omollo atoa wito wa amani Kenya

KENYA: Katibu Mkuu wa Wizara ya Usalama wa Ndani ya Kenya, Raymond Omollo amewataka wananchi wa Kisumu na Wakenya kwa…

Soma Zaidi »

Ida Odinga aitisha amani kumuenzi Raila

MJANE wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga, Mama Ida Odinga, amezungumza kwa mara ya kwanza tangu kifo…

Soma Zaidi »

Onyo za kusafiri kutoka Magharibi ni vikwazo vipya?

DAR ES SALAAM: Kuongezeka kwa onyo za usafiri na masharti ya visa kwa nchi za Afrika kunazua hofu kuwa uhuru…

Soma Zaidi »

Raila Odinga kuzikwa keshokutwa

KAMATI ya Mazishi ya Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya, Raila Odinga imesema kiongozi huyo atazikwa Jumapili, Oktoba 19 kulingana na…

Soma Zaidi »

Raila aagwa Kitaifa kwenye ibada maalum

WAKENYA kutoka maeneo mbalimbali ya nchi hii leo, Ijumaa, wamefurika katika Uwanja wa Michezo wa Nyayo, Jijini Nairobi, kushiriki ibada…

Soma Zaidi »

Kenya : Maelfu Wamuaga Raila Odinga

MAELFU ya waombolezaji wamefurika katika Uwanja wa Kitaifa wa Kasarani, Nairobi, kutoa heshima za mwisho kwa Waziri Mkuu wa zamani…

Soma Zaidi »
Back to top button