Kimataifa

Wajumbe wa Iran, Marekani wakutana na PM Pakistan

ISLAMABAD, Pakistan — Ujumbe wa Iran umefanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, jijini Islamabad, huku pia Makamu…

Soma Zaidi »

Mitaa yafungwa kabla ya mazungumzo Iran na Marekani

ISLAMABAD, Pakistan — Mitaa ya mji mkuu wa Pakistan, Islamabad, ilikuwa tupu Jumamosi huku vikosi vya usalama vikifunga barabara kabla…

Soma Zaidi »

Makamu wa Rais wa Marekani awasili Islamabad

ISLAMABAD, Pakistan — Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, amewasili jijini Islamabad, Pakistan, kuongoza mazungumzo muhimu ya kusitisha vita…

Soma Zaidi »

Makamu wa Rais Iran: Mazungumzo yawezekana kwa masharti

TEHRAN — Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref, amesema mazungumzo ya amani kati ya Iran na…

Soma Zaidi »

Khamenei bado anapata nafuu, aendelea kuongoza maamuzi

TEHRAN — Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, anaendelea kupata nafuu baada ya kujeruhiwa vibaya usoni na miguuni, lakini…

Soma Zaidi »

Iran yakataa mazungumzo bila kusitishwa mapigano Lebanon

ISLAMABAD, Pakistan — Iran imesema haitashiriki mazungumzo na Marekani bila kusitishwa kwa mapigano nchini Lebanon, ikisisitiza kuwa hali ya vita…

Soma Zaidi »

Israel yakataa kujadili sitisho la vita na Hezbollah

WASHINGTON, Marekani — Israel imesema haitajadili sitisho la vita na kundi la Hezbollah wakati wa mazungumzo na maafisa wa Lebanon…

Soma Zaidi »

Kikwete aanza vyema juhudi za amani Sudan Kusini

JUBA — Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameanza kuhuisha mchakato wa amani nchini Sudan Kusini baada ya kukamilisha ziara…

Soma Zaidi »

Wanaanga Artemis II watua salama kutoka mwezini

MAREKANI — Wanaanga wanne wa ujumbe wa Artemis II wametua salama katika Bahari ya Pasifiki baada ya kukamilisha safari ya…

Soma Zaidi »

Rais Museveni, Kikwete wakutana Uganda

UGANDA : RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho…

Soma Zaidi »
Back to top button