Kimataifa

Israel yakataa kujadili sitisho la vita na Hezbollah

WASHINGTON, Marekani — Israel imesema haitajadili sitisho la vita na kundi la Hezbollah wakati wa mazungumzo na maafisa wa Lebanon…

Soma Zaidi »

Kikwete aanza vyema juhudi za amani Sudan Kusini

JUBA — Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameanza kuhuisha mchakato wa amani nchini Sudan Kusini baada ya kukamilisha ziara…

Soma Zaidi »

Wanaanga Artemis II watua salama kutoka mwezini

MAREKANI — Wanaanga wanne wa ujumbe wa Artemis II wametua salama katika Bahari ya Pasifiki baada ya kukamilisha safari ya…

Soma Zaidi »

Rais Museveni, Kikwete wakutana Uganda

UGANDA : RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho…

Soma Zaidi »

Iran, Israel zazidisha mashambulizi ya makombora

MAPIGANO kati ya Iran na Israel yameendelea huku pande hizo zikishambuliana kwa makombora na droni.

Soma Zaidi »

IEA : Tudhibiti mgogoro wa nishati

MKUU wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA), Fatih Birol ametahadharisha kuwa mgogoro unaoendelea wa nishati Mashariki ya Kati unaweza…

Soma Zaidi »

Mafuriko yauwa watu 81

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Kenya (KMD) imesema mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi imesababisha mafuriko makubwa…

Soma Zaidi »

Tanzania yashiriki mkutano wa uchukuzi Afrika Kusini

JOHANNESBURG: Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ameshiriki Mkutano wa Kimataifa wa Masuala ya Uchukuzi (NCT) uliofanyika katika ukumbi wa…

Soma Zaidi »

Zambia yakamata kilo 550 za pembe za ndovu

LUSAKA: Mamlaka za Zambia zimekamata karibu kilo 550 za pembe za ndovu na kuwakamata watu tisa wanaodaiwa kuhusika na mtandao…

Soma Zaidi »

Museveni ateuliwa Mwenyekiti EAC

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kipindi cha mwaka mmoja…

Soma Zaidi »
Back to top button