Kimataifa

Tanzania yashiriki mkutano wa uchukuzi Afrika Kusini

JOHANNESBURG: Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ameshiriki Mkutano wa Kimataifa wa Masuala ya Uchukuzi (NCT) uliofanyika katika ukumbi wa…

Soma Zaidi »

Zambia yakamata kilo 550 za pembe za ndovu

LUSAKA: Mamlaka za Zambia zimekamata karibu kilo 550 za pembe za ndovu na kuwakamata watu tisa wanaodaiwa kuhusika na mtandao…

Soma Zaidi »

Museveni ateuliwa Mwenyekiti EAC

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kipindi cha mwaka mmoja…

Soma Zaidi »

Nyoro afichua athari za uchumi Kenya

MASUALA ya kiuchumi nchini Kenya si ya kuwakatisha tamaa Wakenya pekee, bali pia yanawashangaza wachambuzi wa uchumi kadiri siku zinavyosonga…

Soma Zaidi »

Siasa zayumbisha uchumi Kenya

MVUTANO wa kisiasa na kauli kali kutoka kwa viongozi wa zamani tayari umeanza kujitokeza nchini Kenya huku taifa hilo likijiandaa…

Soma Zaidi »

Presha ya uchumi yatikisa Kenya 2027

KENYA inaingia katika kipindi nyeti cha kiuchumi huku ikikaribia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027, wakati changamoto kadhaa za uchumi zikiendelea…

Soma Zaidi »

Deni la Taifa Kenya laongezeka

KENYA inakabiliwa na changamoto kubwa ya mzigo wa deni la taifa, jambo linalohitaji uchambuzi wa kina ili kuelewa sababu na…

Soma Zaidi »

Marufuku watumishi wa afya kumiliki hospitali binafsi

RAIS wa Malawi, Peter Mutharika amepiga marufuku waajiriwa katika hospitali za serikali au taasisi nyingine za afya za umma kumiliki…

Soma Zaidi »

Miundombinu chakavu yadidimiza utalii Kenya

ENZI ya watalii kupotoshwa kuwa Mlima Kilimanjaro uko Kenya imepita. Sasa wengi wanahamia vivutio vya nchi nyingine za Afrika Mashariki.…

Soma Zaidi »

Mfuko wa Miundombinu Kenya Wakwama

MPANGO wa kuanzisha mfuko wa kitaifa wa miundombinu nchini Kenya umekumbwa na changamoto mbalimbali ambazo zimezua mjadala mkubwa kuhusu mustakabali…

Soma Zaidi »
Back to top button