Africa

Kagame Tshisekedi watakiwa kufanya mazungumzo

GOMA : RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amekutana na Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kujadili kuongezeka kwa ghasia mashariki…

Soma Zaidi »

Rais Samia, viongozi washiriki mkutano ‘Mission 300’

Soma Zaidi »

Dk Mpango akutana na Naibu Mkurugenzi Mtendaji IMF

Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha la Kimataifa…

Soma Zaidi »

AfDB yamsifu Samia nishati safi, umeme

BENKI ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia Afrika.…

Soma Zaidi »

CONGO: Serikali kuimarisha usalama Goma

CONGO: SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo inasema inajitahidi kuepusha mauaji mjini Goma, lakini haitaachia eneo lolote baada ya…

Soma Zaidi »

Afrika imepiga hatua baada ya uhuru- Dk. Biteko

DAR ES SALAAM: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema baada ya kupata uhuru mwaka 1960,…

Soma Zaidi »

Uwekezaji nishati kunufaisha wanachama EAPP

UWEKEZAJI uliofanywa kwenye sekta ya nishati Tanzania katika kipindi cha miaka mitatu, itazinufaisha nchi wanachama wa Umoja wa Mashariki mwa…

Soma Zaidi »

Mbunge Tanzania ashinda mbio mita 1,500 Kenya

MBUNGE wa Bunge la Tanzania, Anatropia Theonest ameibuka mshindi wa riadha kwa wanawake katika mashindano ya mabunge ya Nchi za…

Soma Zaidi »

SADC, EAC zatakiwa kuendeleza matumizi bora ya nishati

WAZIRI  wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo amezitaka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki( EAC) na Jumuiya ya Maendeleo…

Soma Zaidi »

Nchi za SADC, EAC zatakiwa kuweka mipango nishati safi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema suala la matumizi bora ya nishati linapaswa kuwepo kwenye…

Soma Zaidi »
Back to top button