Africa

Afrika yadai haki kwa waathirika wa Ukoloni

VIONGOZI wa Afrika wamekusanyika mjini Algiers, Algeria, kuhimiza kuwa uhalifu wa enzi za ukoloni unapaswa kutambulika, kuhalalishwa kama jinai na…

Soma Zaidi »

Wakimbizi wa Burundi kutopewa uraia Tanzania

BURUNDI: SERIKALI ya Tanzania imewataka wakimbizi wa Burundi wanaoishi katika kambi nchini wawe tayari kurejea nchini mwao ambako imewahakikishia kurejea…

Soma Zaidi »

Mbwa wa Rais wapotea Malawi

POLISI nchini Malawi wanachunguza wizi wa mbwa wanne wa polisi waliopotea kutoka Ikulu ya Rais mjini Lilongwe wakati wa mpito…

Soma Zaidi »

Tinubu atangaza dharura ya usalama

RAIS wa Nigeria, Bola Ahmed Tinubu, ametangaza hali ya dharura ya usalama wa kitaifa kufuatia kuongezeka kwa matukio ya mauaji,…

Soma Zaidi »

Karne moja baada ya kugawanywa Afrika

DAR ES SALAAM: Karne moja baada ya Ulaya kulitawanya Bara la Afrika katika kile kilichoitwa “Scramble for Africa,” ushindani mpya…

Soma Zaidi »

SADC yazindua Mkakati wa Mawasiliano 2025/2030

JUMUIYA ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji ya mwaka 2025/2030 ili kuimarisha mawasiliano, uhusiano…

Soma Zaidi »

Tanzania kuunga mkono amani Ukanda wa Maziwa Makuu

CONGO: TANZANIA imeunga mkono ajenda zote muhimu zilizojadiliwa katika Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya…

Soma Zaidi »

Laikipia inavyoendelea kuwa chini ya ukoloni

NAIROBI: Katikati ya Laikipia, mji tulivu wa Kenya ambao bado unakumbwa na kivuli cha ukoloni, familia nyingi bado zinaomboleza na…

Soma Zaidi »

Omollo atoa wito wa amani Kenya

KENYA: Katibu Mkuu wa Wizara ya Usalama wa Ndani ya Kenya, Raymond Omollo amewataka wananchi wa Kisumu na Wakenya kwa…

Soma Zaidi »

Ida Odinga aitisha amani kumuenzi Raila

MJANE wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga, Mama Ida Odinga, amezungumza kwa mara ya kwanza tangu kifo…

Soma Zaidi »
Back to top button