Kimataifa

Wakili azua kizaazaa mtandaoni

NEW DELHI : MAHAKAMA KUU ya Gujarat nchini India imeanza kusikiliza kesi dhidi ya wakili wake mmoja, Bhaskar Tanna, baada…

Soma Zaidi »

Marekani yakanusha kusitisha silaha Ukraine

WASHINGTON DC : MAAFISA wa serikali ya Marekani wamepuuzilia mbali taarifa ya awali kutoka Ikulu ya White House inayodai kuwa…

Soma Zaidi »

Marekani yafungua milango kwa Afrika

WASHINGTON DC : RAIS wa Marekani, Donald Trump, anatarajiwa kukutana na viongozi kutoka mataifa matano ya Afrika wiki ijayo kwa…

Soma Zaidi »

Mashambulizi ya anga yaua watu 30

GAZA, PALESTINA:TAKRIBAN watu 30 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Jeshi la Israel katika Ukanda…

Soma Zaidi »

Iran yasitisha ushirikiano IAEA

TEHRAN: RAIS wa Iran, Masoud Pezeshkian, ameagiza kusitishwa kwa ushirikiano kati ya nchi hiyo na Shirika la Kimataifa la Kudhibiti…

Soma Zaidi »

UN: Rwanda yatumia teknolojia ya kijeshi kusaidia M23

KINSHASA, DRC: RIPOTI ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa imeeleza kuwa Rwanda ina ushawishi mkubwa na mamlaka kwa kundi la…

Soma Zaidi »

Joto kali Ulaya laua, shule zafungwa

MADRID, UHISPANIA : WIMBI la joto kali limeikumba sehemu kubwa ya bara la Ulaya, likisababisha shule nyingi kufungwa na vifo…

Soma Zaidi »

Uturuki yawakamata waandamanaji 42

UTURUKI : SERIKALI nchini Uturuki inawashikilia watu 42 baada ya kuwakamata kufuatia maandamano makubwa yaliofanyika mjini Istanbul, siku 100 tangu…

Soma Zaidi »

Hamas yakataa mpango wa Trump

GAZA,PALESTINA : KUNDI la Wanamgambo la Hamas limesema liko tayari kusitisha mapigano na Israel, lakini haiko tayari kuunga mkono mpango…

Soma Zaidi »

Turk apigwa marufuku Venezuela

VENEZUELA : BUNGE la Venezuela linaloungwa mkono na serikali limemtangaza Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu,…

Soma Zaidi »
Back to top button