Kimataifa

iRAN imegoma kurejea kwenye mazungumzo

TEHRAN : WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema hakuna uwezekano wa nchi yake kurejea katika mazungumzo…

Soma Zaidi »

Trump apunguza misaada, watoto waathirika

MADRID, UHISPANIA : TAKRIBAN watu milioni 14 wanaoishi katika mazingira magumu duniani wako hatarini kufariki dunia kufikia mwaka 2030, kufuatia…

Soma Zaidi »

Trump, Netanyahu kukutana White House

WASHINGTON DC : RAIS wa Marekani, Donald Trump, anatarajiwa kuwa mwenyeji wa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, katika mazungumzo…

Soma Zaidi »

Trump aondoa vikwazo kwa Syria

WASHINGTON DC : SERIKALI ya Marekani imeiondolea Syria baadhi ya vikwazo, kufuatia kutiwa saini kwa mkataba wa makubaliano kati ya…

Soma Zaidi »

Iran yalaumiwa kwa vitisho dhidi ya IAEA

TEHRAN: MATAIFA ya Ufaransa, Ujerumani na Uingereza yamelaani vikali kile walichokiita vitisho vya Iran dhidi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika…

Soma Zaidi »

Wakimbizi Sudan kukumbwa na baa la njaa

KHARTOUM : SHIRIKA la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetoa onyo kuwa mamilioni ya watu waliokimbia makazi yao kutokana na…

Soma Zaidi »

Rais Museveni kugombea tena urais

UGANDA : RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni (80), ametangaza rasmi nia ya kugombea tena urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika…

Soma Zaidi »

TikTok yapata mnunuzi, majina yahifadhiwa

WASHINGTON DC : RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema kuna kundi la wawekezaji wenye uwezo mkubwa kifedha walioko tayari kununua…

Soma Zaidi »

Ukraine kujiondoa kwenye Mkataba wa Ottawa

KYIV, UKRAINE : RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, ametia saini amri ya kuiondoa rasmi nchi yake kutoka kwenye Mkataba wa…

Soma Zaidi »

Wachimbaji 11 wa dhahabu wapoteza maisha

KHARTOUM : KAMPUNI ya Rasilimali ya Madini Sudan (SMRC) imethibitisha kuwa wachimbaji 11 wa dhahabu wamefariki dunia baada ya kuangukiwa…

Soma Zaidi »
Back to top button