Kimataifa

Iran yaikosoa Israel kuhusu usitishaji mapigano

TEHRAN : SERIKALI ya Iran imetangaza kutokuwa na imani na hatua ya Israel ya kutangaza usitishaji wa mapigano, ikisema bado…

Soma Zaidi »

Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu mashambulio

TEHRAN: KIONGOZI Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amesema taifa lake liko tayari kujibu kwa nguvu kubwa endapo Marekani itafanya…

Soma Zaidi »

Wapalestina 56 wauawa Gaza

GAZA, PALESTINA : IDARA ya Ulinzi wa Raia katika Ukanda wa Gaza imethibitisha kuwa watu 56 wameuawa Alhamisi, Juni 26,…

Soma Zaidi »

Watoto Milioni 15.7 Wabaki Bila Chanjo

UINGEREZA : JUHUDI za utoaji chanjo kwa watoto duniani zimeripotiwa kusuasua tangu mwaka 2010, hali inayoweka mamilioni ya watoto katika…

Soma Zaidi »

NATO yakubali kuongeza Bajeti ya Ulinzi

THE HAGUE, UHOLANZI : KATIBU Mkuu mpya wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO, Mark Rutte, amesema hatua ya kuongeza bajeti…

Soma Zaidi »

Reli ya kasi yaunganisha China na Urusi

HEILONGJIANG:SERIKALI ya China imekamilisha ujenzi wa tundu jipya la reli lenye urefu wa mita 602 katika mji wa Suifenhe, Heilongjiang,…

Soma Zaidi »

Idadi ya vifo yaongezeka Kenya

NAIROBI : IDADI ya raia waliofariki dunia kutokana na maandamano ya Jumatano imefikia 16, kwa mujibu wa taarifa ya shirika…

Soma Zaidi »

Watu wawili wapoteza maisha

NAIROBI : WATU wawili wamepoteza maisha na wengine 10 kujeruhiwa vibaya kufuatia maandamano makubwa yaliyofanyika hapo jana jijini Nairobi.

Soma Zaidi »

Putin hatoshiriki mkutano wa Brics

MOSCOW : RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, hatosafiri kwenda Brazil kushiriki mkutano wa BRICS kutokana na waranti ya kukamatwa iliyotolewa…

Soma Zaidi »

Mazishi ya Egdar Lungu yakwama

JOHANESBURG : MAHAKAMA nchini Afrika Kusini imezuia kufanyika kwa mazishi ya faragha ya Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu,…

Soma Zaidi »
Back to top button