Gesi
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
-
Dalili gesi asilia zaonekana kitalu cha Lindi – Mtwara
MTWARA: UTAFITI unaoendelea kufanyika katika Kitalu cha Lindi–Mtwara, mkoani Mtwara umeonesha dalili za uwepo wa gesi asilia, hususani katika vijiji…
Soma Zaidi » -
PURA yaweka msisitizo elimu miradi kwa wananchi
MTWARA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeelekeza nguvu zake katika utoaji wa elimu kwa wananchi kuhusu miradi…
Soma Zaidi » -
Utafiti wa mafuta, gesi waonyesha mafanikio
ARUSHA: Utafiti unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere unaolenga kutafuta mafuta na gesi katika Bonde la Ufa la…
Soma Zaidi » -
PURA yaikaribisha Chevron Tanzania kuwekeza sekta ya mafuta, gesi asilia
ACCRA, GHANA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeikaribisha moja ya kampuni kubwa ya nishati ya Marekani ijulikanayo…
Soma Zaidi » -
Kampuni ya gesi yazindua jiko la nishati safi
KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania kwa kushirikiana na Tanzania Communities Rise Foundation(TCRF) wamezindua jiko linatumia mfumo wa nishati safi katika…
Soma Zaidi » -
Mamlaka Tanzania, Algeria zajadili kuinua sekta ya petroli, gesi asilia
ALGIERS, ALGERIA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli nchini (PURA) na Mamlaka ya Udhibiti wa Petroli Algeria (ARH)…
Soma Zaidi » -
Balozi, bosi Sonatrach wateta fursa za uwekezaji sekta ya mafuta, gesi asilia
Algiers, Algeria: Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Iman Njalikai amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyekiti na mkurugenzi mtendaji wa Kampuni…
Soma Zaidi » -
PURA, ALNAFT wakutana Algiers kujadili namna ya kuinua sekta ya gesi asilia
Algiers, Algeria: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Nchini (PURA) imekutana na kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti…
Soma Zaidi » -
RC Dar azindua mfumo usambazaji gesi ya LPG
DAR ES SALAAM;MFUMO wa kwanza wa usambazaji wa gesi ya LPG kwa wingi katika Soko la Samaki Feri Dar es…
Soma Zaidi » -
Wateja wapya Tanesco kukopeshwa majiko
SERIKALI imeliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) liharakishe mchakato wa kuwakopesha wateja wapya majiko ya umeme. Naibu Waziri Mkuu na…
Soma Zaidi »