Chaguzi

Mgombea CHAUMMA Mafinga Mjini awekewa pingamizi

IRINGA: Mgombea ubunge wa Jimbo la Mafinga Mjini kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Ngwada Mubarak Twaha, amewekewa pingamizi…

Soma Zaidi »

Bandari Dar yafikisha shehena milioni 27.76

DAR ES SALAAM: BANDARI ya Dar es Salaam imeongeza uwezo wa sheheza za mizigo kutoka tani milioni 17 mwaka 2020…

Soma Zaidi »

Ndoinyo apitishwa, mwingine akiuka kanuni

ARUSHA: MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Ngorongoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Arusha, Yannick Ndoinyo amepita bila kupingwa katika…

Soma Zaidi »

Wagombea, vyama vizingatie kampeni za kistaarabu kulinda amani ya nchi

LEO (Agosti 28, 2025) ni uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2025. Vyama…

Soma Zaidi »

Kumekucha kampeni za Uchaguzi Mkuu

WAGOMBEA urais 17, ubunge na udiwani leo wanatarajiwa kuanza kampeni kuomba wananchi wawapigie kura katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, mwaka…

Soma Zaidi »

Queen Lugembe arejesha fomu ya ubunge Ubungo

DAR ES SALAAM: MWANAHARAKATI na kada wa chama cha ACT-Wazalendo, Queen Julieth Lugembe, leo amerejesha rasmi fomu ya kuwania ubunge…

Soma Zaidi »

Mgombea wa Chaumma aja na kipaumbele cha ajira Mafinga Mji

Mgombea ubunge wa Jimbo la Mafinga Mji kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Ngwada Mubarak Twaha, amezindua rasmi ajenda…

Soma Zaidi »

Samia, Nchimbi walivyorejesha fomu INEC

UREJESHAJI wa fomu na uteuzi wa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais umefanyika leo katika ofisi za…

Soma Zaidi »

Kiswaga: “Safari Mpya ya Maendeleo Kalenga Imeanza”

IRINGA: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jackson Kiswaga, ameibuka kwa kishindo baada ya kurejesha…

Soma Zaidi »

Serikali imefanya makubwa – Mathayo

SAME: MBUNGE mteule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ,Jimbo la Same Magharibi ,David Mathayo amesema serikali imefanya makubwa katika jimbo…

Soma Zaidi »
Back to top button