Siasa

CUF, CHAUMMA kuzindua kampeni leo

DAR ES SALAAM: Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) wanatarajia kuzindua kampeni za Uchaguzi Mkuu…

Soma Zaidi »

Dk Samia ataja mafanikio Gairo

GAIRO, Morogoro: MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema katika kipindi kifupi cha miaka minne…

Soma Zaidi »

Dk Nchimbi aanza ziara Mara

MARA; Mgombea mwenza wa kiti cha urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amewasili mkoani…

Soma Zaidi »

Balozi Nchimbi: Ushindi unakuja

MWANZA: MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema chama hicho kinatarajia kupata ushindi…

Soma Zaidi »

Dk Nchimbi: CCM imefanya makubwa

MWANZA; MGOMBEA mwenza wa urais kupitia CCM, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amewashangaza wanaodai kuwa chama hicho hakijafanya lolote, akibainisha mafanikio…

Soma Zaidi »

Wagombea 16 Udiwani hawana upinzani

KIGOMA: WAGOMBEA 16 wa nafasi za udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Kigoma wamefanikiwa kuwa wagombea pekee baada ya…

Soma Zaidi »

Samia: Agosti nina bahati na Ngerengere

MOROGORO; Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan, amesema ana bahati kubwa na Wanangerengere inapofika mwezi…

Soma Zaidi »

Dk Samia amwaga sera Ngerengere

MOROGORO: MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kutoa shilingi bilioni 2.6 kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

Dk Nchimbi atua Mwanza kwa kampeni

MWANZA; MGOMBEA mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amewasili jijini Mwanza kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

Zamu ya Morogoro leo

MOROGORO: Baada ya jana kuzindua kampeni za Uchaguzi Mkuu jijini Dar es Salaam, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)…

Soma Zaidi »
Back to top button