Tanzania

Taasisi yasaidia huduma upatikanaji chakula shuleni

GEITA; Taasisi  ya Mapung’o Foundation iliyopo mkoani Geita imetoa msaada wa gunia 75 za mahindi ya chakula katika Shule ya…

Soma Zaidi »

Mikopo yawainua wenye ulemavu Iringa

IRINGA: Mikopo inayotolewa na Serikali kwa watu wenye ulemavu imeanza kubadili maisha ya baadhi ya wanufaika mkoani Iringa, huku baadhi…

Soma Zaidi »

Dk Kida atoa wito ubunifu na teknolojia Dira 2050

DAR ES SALAAM; KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dk Tausi…

Soma Zaidi »

KCJE yatajwa mfano wa usimamizi bora wa zao la korosho

MTWARA: Mradi wa Pamoja wa Vyama Vikuu vya Ushirika vya Pamba nchini (TANCCOOPS) umeipongeza Kamati ya Pamoja ya Vyama Vikuu…

Soma Zaidi »

Kafulila apongezwa mihadhara yenye tafiti za kina

DAR ES SALAAM: Mhadhiri wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru (TICD) Jackson Muhoho, ameitaja mihadhara inayotolewa vyuoni na Mkurugenzi…

Soma Zaidi »

Miradi ya bil 18/- kupitiwa na mwenge uhuru Shinyanga

SHINYANGA: MKOA wa Shinyanga umeupokea Mwenge wa Uhuru ambao utapitia, kuzindua na kuweka Jiwe la Msingi miradi 45 yenye thamani…

Soma Zaidi »

 NACTEVET yaridhishwa maandalizi mashindano ya ujuzi

TANGA: MAANDALIZI ya Mashindano ya Ujuzi Kitaifa (WorldSkills Tanzania 2026) yanayotarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara mkoani…

Soma Zaidi »

TICD yaingiza moduli za PPP katika mitaala ya mafunzo

ARUSHA: Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru (TICD) imefanya maboresho ya kimkakati katika mifumo yake ya mafunzo kwa kuingiza rasmi…

Soma Zaidi »

VETA, VTA kuendeleza ushirikiano mafunzo bora nchini

ZANZIBAR: MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeahidi kuendeleza ushirikiano na Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar…

Soma Zaidi »

Rais Samia aikabidhi cheti cha shukrani NSSF Tamasha la Kizimkazi

ZANZIBAR; Rais wa  Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan,  Agosti 14, 2026, amemkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi…

Soma Zaidi »
Back to top button