Tanzania

Serikali yasisitiza uwazi, uadilifu vyama vya ushirika

DODOMA: SERIKALI imewataka viongozi wa vyama vya ushirika nchini kuendesha taasisi hizo kwa uwazi, uwajibikaji na uadilifu, huku ikionya kuwa…

Soma Zaidi »

Ushirika watajwa nguzo ya ukuaji wa uchumi

DODOMA: Serikali imezitaka jamii za ushirika nchini kuimarisha uwajibikaji, kutumia teknolojia za kidijitali na kuongeza ushiriki wa vijana na wanawake…

Soma Zaidi »

NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia msamaha wa tozo

DAR ES SALAAM: Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kuimarisha juhudi za kupanua wigo wa hifadhi ya…

Soma Zaidi »

Mwanautalii Al Barwani rasmi balozi wa utalii Tanzania

DAR ES SALAAM: MWANAUTALII na mtangazaji wa vivutio vya utalii kutoka Oman, Khalid Hamed Al Barwani, aliyesaidia kulitangaza kimataifa Shamba…

Soma Zaidi »

Wanufaika ‘Dumisha Amani’ watakiwa kuanzisha vikundi

LINDI: MKUU wa Wilaya ya Lindi, Victoria Mwanziva, amewataka wanafunzi 60 watakaonufaika na mafunzo ya ufundi kupitia mradi wa ‘Dumisha…

Soma Zaidi »

Tanzania mbioni kuzalisha umeme wa nyuklia

DAR ES SALAAM: TANZANIA imeendelea na maandalizi muhimu kuelekea kuanza matumizi ya nishati ya nyuklia kwa ajili ya uzalishaji wa…

Soma Zaidi »

Kafulila azungumzia mchakato ujenzi barabara Tunduma – Igawa

DAR ES SALAAM:  Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-Centre), David Kafulila, amesema…

Soma Zaidi »

TTB yatumia sabasaba kukuza utalii, fursa AFCON

DAR ES SALAAM: Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imesema Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam…

Soma Zaidi »

Ulega atoa miezi 3 mkandarasi kukamilisha barabara Mtwara

MTWARA: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametoa miezi mitatu kwa Mkandarasi anayejenga barabara ya Mnivata – Mitesa (km 100), kuhakikisha…

Soma Zaidi »

PPP ndio mwendo wa dunia – Prof Mollel

DAR ES SALAAM: Rais wa Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya, Profesa Henry Mollel amesema Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha…

Soma Zaidi »
Back to top button