Tanzania

Utalii waendelea kuipaisha Tanzania kimataifa

SEKTA ya utalii nchini Tanzania inaendelea kuonesha mafanikio makubwa ya ongezeko la idadi ya watalii na makusanyo ya mapato yanayoendelea…

Soma Zaidi »

ETDCO yakamilisha mradi wa umeme kabla ya muda

MTWARA: KAMPUNI ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha ujenzi wa laini maalum…

Soma Zaidi »

Mfumo ukusanyaji fedha kukamilisha miradi ya maji

TANGA: WIZARA ya Maji imetangaza mikakati ya kuanzisha mfumo mpya wa upatikanaji wa fedha ujulikanao kama Alternative Financing, ikiwa ni…

Soma Zaidi »

Kigoma: Maofisa uvuvi watakiwa kuongeza fursa za ajira

KIGOMA: Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dk Rashidi Chuachua amewataka maofisa uvuvi kutumia nafasi zao kuchochea ajira kwa vijana kwenye…

Soma Zaidi »

Mradi wa kusafirisha umeme Masasi–Newala wazinduliwa

MTWARA: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi akiwa pamoja na viongozi wengine, ameweka Jiwe la Msingi na kukata utepe kuzindua Mradi…

Soma Zaidi »

Kafulila ahudhuria ujenzi SGR

KIGOMA: Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC), David Kafulila, amehudhuria hafla ya…

Soma Zaidi »

Waziri Mkuu: Mabadiliko ya dunia ni fursa kwa Afrika

DAR ES SALAAM: Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Afrika inapaswa kutumia mabadiliko yanayoendelea katika siasa, uchumi na usalama duniani…

Soma Zaidi »

ACT yasisitiza amani kupitia mazungumzo

CHAMA cha ACT Wazalendo kimesisitiza umuhimu wa kulinda na kuendeleza amani ya Tanzania kwa kutumia mazungumzo na maridhiano, kikieleza kuwa…

Soma Zaidi »

Mwinyi atoa salamu za pole kwa Qatar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametuma salamu za pole kwa Amir wa…

Soma Zaidi »

‘Kilimo cha biashara ndio mwelekeo wa Iringa’

IRINGA: Mkoa wa Iringa umeweka mkakati mpya wa kuharakisha mageuzi ya sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi kwa kuelekeza nguvu…

Soma Zaidi »
Back to top button